saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 624
- 1,456
Naomba wajuzi wa mambo Pascal Mayalla na Lucas mwashambwa mnisaidie uelewa na wengine wasio na uelewa kama mimi. Hivi ni vigezo gani vinatumika kumteua DC au kumtengua DC.
Hawa walioteuliwa wana sifa gani na waliotenguliwa wana matatizo gani.
Hawa walioteuliwa wana sifa gani na waliotenguliwa wana matatizo gani.