Mtegemea cha nduguye hufa maskini. Nguo ya kuazima haisitiri makalio! Naona ndio maana wamehamua kushughulikia matatizo yao ya nyumbani, ili waweze kukabiliana na haya matandiko ya kuazima. Ivi huko baharini si pia kuna upepo daima? nadhani hawahitaji umeme wa mtera, halafu wakipata hata hivyo vichupa viwili vya mafuta wanaweza kuondokana na hii kadhia!
Nawapongeza kwa kuweza kuelewana wao kwa wao kwanza kwani maslahi yao sasa yatakuwa mbele. Nadhani hata lili swala la kuchaguliwa rais chimwaga litakuwa limefifishwa kwa kiasi kikubwa