Kwa mfanyabiashara mdogo na mkubwa kulipa Kodi Halali ni vigumu sana,akilipa Kodi Halali ajiandae kufunga biashara yake (kufirisika) viwango vya Kodi ni vikubwa mno.
Wafanyabiashara wengi wanaamua kutumia mbinu kama kusema uongo juu ya mauzo ya Kila siku Ili akadiriwe Kodi kidogo,kufoji taarifa za uongo, kundika bei ndogo kwenye risiti za efd machine, kutokutoa risiti kabisa,kuingiza bidhaa Kwa njia za magendo n.k.
Mathlani unanunua mfuko wa sukari kilo 50 Kwa 130000 Kisha unauuza mfuko Kwa 135000, sasa ukiandika bei halisi hapo jamaa watakulamba mpaka mtaji, huna budi kuandika bei ya chini zaidi au usitoe risiti kabisa.
Pia Kuna Kodi plus ushuru kama usafi, ulinzi n.k, ndio maana hata jamaa wa kariakoo wamegoma kwani TRA wanataka Kodi yote ilipwe ipasavyo kitu ambacho ni kigumu kufanyika, kwa anayefanya biashara yoyote atakubaliana nami kuwa ukipeleka taarifa sahihi TRA jiandae kufirisika kwani viwango vya Kodi vilivyopo Si rafiki Kwa mfanyabiashara mkubwa na hata mdogo.
Mm nimeshudia mtu mwenye wastani wa mauzo ya mil 5 kwa siku anadanganya TRA kuwa wastani wa mauzo Kwa siku ni 50000,anaogopa kusema ukweli kwani atafirisika.
Nafikiri waliopanga viwango vya Kodi hawana uelewa wote kuhusu biashara na changamoto zake,hawajui faida na hasara zinazopatikana,gharama za uendeshaji,wao waliangalia upande mmoja tu wa kuongeza mapato ya serikali lkn hawajui kuwa Kodi kubwa inaua biashara pia.
Mgomo wa kariakoo uendelee labda serikali itapunguza kodi kandamizi Kwa wafanyabiashara.
Wafanyabiashara wengi wanaamua kutumia mbinu kama kusema uongo juu ya mauzo ya Kila siku Ili akadiriwe Kodi kidogo,kufoji taarifa za uongo, kundika bei ndogo kwenye risiti za efd machine, kutokutoa risiti kabisa,kuingiza bidhaa Kwa njia za magendo n.k.
Mathlani unanunua mfuko wa sukari kilo 50 Kwa 130000 Kisha unauuza mfuko Kwa 135000, sasa ukiandika bei halisi hapo jamaa watakulamba mpaka mtaji, huna budi kuandika bei ya chini zaidi au usitoe risiti kabisa.
Pia Kuna Kodi plus ushuru kama usafi, ulinzi n.k, ndio maana hata jamaa wa kariakoo wamegoma kwani TRA wanataka Kodi yote ilipwe ipasavyo kitu ambacho ni kigumu kufanyika, kwa anayefanya biashara yoyote atakubaliana nami kuwa ukipeleka taarifa sahihi TRA jiandae kufirisika kwani viwango vya Kodi vilivyopo Si rafiki Kwa mfanyabiashara mkubwa na hata mdogo.
Mm nimeshudia mtu mwenye wastani wa mauzo ya mil 5 kwa siku anadanganya TRA kuwa wastani wa mauzo Kwa siku ni 50000,anaogopa kusema ukweli kwani atafirisika.
Nafikiri waliopanga viwango vya Kodi hawana uelewa wote kuhusu biashara na changamoto zake,hawajui faida na hasara zinazopatikana,gharama za uendeshaji,wao waliangalia upande mmoja tu wa kuongeza mapato ya serikali lkn hawajui kuwa Kodi kubwa inaua biashara pia.
Mgomo wa kariakoo uendelee labda serikali itapunguza kodi kandamizi Kwa wafanyabiashara.