Ni vipi vigezo vya kufanyakazi Ofisi za Waziri Mkuu, Makamu wa Rais , ofisi za Rais? Unapaswa kuwa na kiwango gani cha elimu

Ni vipi vigezo vya kufanyakazi Ofisi za Waziri Mkuu, Makamu wa Rais , ofisi za Rais? Unapaswa kuwa na kiwango gani cha elimu

nuporo

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2018
Posts
1,534
Reaction score
3,387
Wanaofanya kazi Ofisi ya Waziri Mkuu, Makamu wa Rais , Ofisi ya Rais wanabidi wawe na vigezo gani au elimu gani? ajira zao zipoje?

Elimu yao au taaluma zao?

Ajira wanaombea wapi?

Karibuni tujadili tuwasaidie vijana wenye Ndoto hiyo_ kwa uwazi
 
Wanaofanya kazi Ofisi ya Waziri Mkuu, Makamu wa Rais , Ofisi ya Rais wanabidi wawe na vigezo gani au elimu gani? ajira zao zipoje?
Elimu yao au taaluma zao?
Ajira wanaombea wapi?

Karibuni tujadili tuwasaidie vijana wenye Ndoto hiyo_ kwa uwazi
Unachomolewa ajira portal ofisi zingine wanatolewa kwenye idara Nyeti kuendana na taaluma yako
 
Back
Top Bottom