Ni vipi vigezo vya kufanyakazi Ofisi za Waziri Mkuu, Makamu wa Rais , ofisi za Rais? Unapaswa kuwa na kiwango gani cha elimu

nuporo

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2018
Posts
1,534
Reaction score
3,387
Wanaofanya kazi Ofisi ya Waziri Mkuu, Makamu wa Rais , Ofisi ya Rais wanabidi wawe na vigezo gani au elimu gani? ajira zao zipoje?

Elimu yao au taaluma zao?

Ajira wanaombea wapi?

Karibuni tujadili tuwasaidie vijana wenye Ndoto hiyo_ kwa uwazi
 
Wanaofanya kazi Ofisi ya Waziri Mkuu, Makamu wa Rais , Ofisi ya Rais wanabidi wawe na vigezo gani au elimu gani? ajira zao zipoje?
Elimu yao au taaluma zao?
Ajira wanaombea wapi?

Karibuni tujadili tuwasaidie vijana wenye Ndoto hiyo_ kwa uwazi
Unachomolewa ajira portal ofisi zingine wanatolewa kwenye idara Nyeti kuendana na taaluma yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…