Ni vipi vigezo vya kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa au wilaya?

Ni vipi vigezo vya kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa au wilaya?

Mbudi

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2013
Posts
577
Reaction score
157
Jamani naomba msaada maana mara kwa Mara nasikia uteuzi wa wakuu wa mkoa na wilaya. Kibaya zaidi nipale ninapo sikia mkuu wamkoa Fulani amestaafu nafasi yake amechukua kanali mstaafu inamaana hakuna watu wengine na kwanini sijawahi kusiakia RPC mstaafu kawa mkuu wa mkoa.

Natafuta kazi kilakukicha ila mstaafu anapata kazi nalia kwa uchungu jaman jaman baba rais mtoto mbunge. Mume waziri mama mkuu wamkoa. Mbunge kafariki mtoto wake NEC imempitisha kutetea jimbo hiinidharau. Nataka kuamini msemo wa mzee Makamba ukiwa mtoto wa mlinzi na we we utakuwa mlinzi.

Daaaa kumbe wanapeana kwa sio wewe au baba yangu.
 
Lifanyie utafiti katiba ya zamani na ile pendekezwa. Rudi hapa utoe msimamo wako na uwaelimishe waliokaribu nawe. Utawala wa ccm sasa janga la taifa.
 
Ni rahisi sana. Tafuta mzee yeyote aliyekuwa kiongozi na ambaye msimamo wake ni wa kupigania wananchi tofauti na magamba, halafu mpige ngwara hadharani, baada ya wiki 2 unapewa u - dc !
 
Uwe mwanamke alafu uwe na figure la haja.
 
Sasa akipewa Makonda kijana munalalamika akipewa kanali mstaafu nongwa.
 
Back
Top Bottom