Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,713
- 6,121
Habari za wakati huu;
Kuna mtu ameniomba ushauri kwamba anataka kuwa mwandishi wa vitabu.Kwa kweli nilifurahi ila nilimuuliza analenga kuandika vitabu kwa ajili ya kina nani?Alisema Watanzania wa Rika Lolote lile?
Basi baada ya mjadala mrefu na mipango mingi nikasema nirudi hapa niwaulizeni ninyi wadau.Je, ni Vitabu vya aina gani vinavyoandikwa na watanzania?Je ni vitabu vya aina gani vinavyosomwa na Watanzania?
Je, kuna biashara katika usomaji wa vitabu hapa Tanzania?
Karibuni tujadili.
Kuna mtu ameniomba ushauri kwamba anataka kuwa mwandishi wa vitabu.Kwa kweli nilifurahi ila nilimuuliza analenga kuandika vitabu kwa ajili ya kina nani?Alisema Watanzania wa Rika Lolote lile?
Basi baada ya mjadala mrefu na mipango mingi nikasema nirudi hapa niwaulizeni ninyi wadau.Je, ni Vitabu vya aina gani vinavyoandikwa na watanzania?Je ni vitabu vya aina gani vinavyosomwa na Watanzania?
Je, kuna biashara katika usomaji wa vitabu hapa Tanzania?
Karibuni tujadili.