Ni vitu gani serikali ifanye ili iweze kuboresha sekta ya elimu na ajira?

Ibrahim Quan

Member
Joined
Jul 24, 2020
Posts
6
Reaction score
0
1. Kubadilisha mfumo mzima wa elimu, kutoka elimu ya mitihani hadi uelewa?

2. Je, ni kutengeneza sera ambazo zitawalinda na kuwasaidia wafanya biashara wadogo?

3. Au kutoa mafunzo zaidi kuhusu biashara na ujasiriamali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…