I Ibrahim Quan Member Joined Jul 24, 2020 Posts 6 Reaction score 0 Aug 30, 2022 #1 1. Kubadilisha mfumo mzima wa elimu, kutoka elimu ya mitihani hadi uelewa? 2. Je, ni kutengeneza sera ambazo zitawalinda na kuwasaidia wafanya biashara wadogo? 3. Au kutoa mafunzo zaidi kuhusu biashara na ujasiriamali?
1. Kubadilisha mfumo mzima wa elimu, kutoka elimu ya mitihani hadi uelewa? 2. Je, ni kutengeneza sera ambazo zitawalinda na kuwasaidia wafanya biashara wadogo? 3. Au kutoa mafunzo zaidi kuhusu biashara na ujasiriamali?
chillo clan conscious JF-Expert Member Joined Oct 6, 2016 Posts 850 Reaction score 1,567 Aug 30, 2022 #2 TOZO
M mbantu wa bantu Member Joined Apr 5, 2022 Posts 35 Reaction score 52 Aug 30, 2022 #3 Jamii inayotambua thaman ya ELIMU humthamin mwalimu. Tuanze na hilo.
I Ibrahim Quan Member Joined Jul 24, 2020 Posts 6 Reaction score 0 Sep 2, 2022 Thread starter #4 chillo clan conscious said: TOZO Click to expand... kweli pia hilo ni changamoto
I Ibrahim Quan Member Joined Jul 24, 2020 Posts 6 Reaction score 0 Sep 2, 2022 Thread starter #5 mbantu wa bantu said: Jamii inayotambua thaman ya ELIMU humthamin mwalimu. Tuanze na hilo. Click to expand... ni dhahiri lakini bado jammii na serikali haijawathamini
mbantu wa bantu said: Jamii inayotambua thaman ya ELIMU humthamin mwalimu. Tuanze na hilo. Click to expand... ni dhahiri lakini bado jammii na serikali haijawathamini