Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Ni swali najiuliza kuwa kama dada yako anajaribu kukuunganisha na rafiki yake

ukimkatalia inaonekana anajua taste zako na kuwa anakutakia mema? Ukimkatalia si uonaonekana humuamini? Inakuwaje sasa kama ukimkubalia halafu uhusiano wako na huyo mtu mwingine ukawa mgumu sana kweli haitaharibu uhusiano wako na dada yako?
Upande mwingine ni je kaka anaweza kumuunganisha dadake na rafiki yake akiamini kuwa ni pair nzuri? Au ni "no no" kwa kaka kumuunganisha dadamtu? Hili ni muhimu kupata mawazo kwani kiakili "namfahamu" mtu mmoja ambaye anajua kuwa mdogo wake wa kike anaweza akawa na mahusiano mazuri na rafiki ya mtu huyo ambayo yanaweza kufikia hata ndoa. Yaani, jamaa anamuona rafiki yake ni bora awe shemeji yake. Sasa Kitanzania inaruhusiwa.
Ushauri wa haraka tafadhali.

ukimkatalia inaonekana anajua taste zako na kuwa anakutakia mema? Ukimkatalia si uonaonekana humuamini? Inakuwaje sasa kama ukimkubalia halafu uhusiano wako na huyo mtu mwingine ukawa mgumu sana kweli haitaharibu uhusiano wako na dada yako?
Upande mwingine ni je kaka anaweza kumuunganisha dadake na rafiki yake akiamini kuwa ni pair nzuri? Au ni "no no" kwa kaka kumuunganisha dadamtu? Hili ni muhimu kupata mawazo kwani kiakili "namfahamu" mtu mmoja ambaye anajua kuwa mdogo wake wa kike anaweza akawa na mahusiano mazuri na rafiki ya mtu huyo ambayo yanaweza kufikia hata ndoa. Yaani, jamaa anamuona rafiki yake ni bora awe shemeji yake. Sasa Kitanzania inaruhusiwa.
Ushauri wa haraka tafadhali.