spidernyoka JF-Expert Member Joined Jan 2, 2020 Posts 7,557 Reaction score 20,477 Apr 8, 2024 #21 Acheni tu hua mnatuua mkija EMD Yani pisi kali kweli kweli ila chupi matobo kama CHUJIO baadae akiamka hata machon hakuangalii
Acheni tu hua mnatuua mkija EMD Yani pisi kali kweli kweli ila chupi matobo kama CHUJIO baadae akiamka hata machon hakuangalii
Leejay49 JF-Expert Member Joined Feb 10, 2023 Posts 16,388 Reaction score 51,970 Apr 8, 2024 #22 Kuna watu wanajisahau sana kusafisha makwapa halafu wanavaa nguo za kuachia mabega..Hili nalo wakalitazame
Kuna watu wanajisahau sana kusafisha makwapa halafu wanavaa nguo za kuachia mabega..Hili nalo wakalitazame
Dr am 4 real PhD JF-Expert Member Joined Jun 30, 2016 Posts 11,640 Reaction score 24,066 Apr 8, 2024 #23 Mwizukulu mgikuru said: Kwangu Mimi ipo poa Click to expand... Mimi kwangu changamoto sijui nifanyeje..
Mwizukulu mgikuru said: Kwangu Mimi ipo poa Click to expand... Mimi kwangu changamoto sijui nifanyeje..
othuman dan fodio JF-Expert Member Joined Jan 2, 2018 Posts 6,850 Reaction score 11,033 May 3, 2024 #24 Mwizukulu mgikuru said: Mchupi umechakaa na kutoboka kabisa.... Nunueni nguo za ndani nyingi, wala sio ujanja kuwa na boksa moja acheni kudanganyana Click to expand... Utaskia uchumi baba, chupi tangu 2020 mpaka Leo 2024 bado mtu anakomaa nayo tu. Dar hili life sio
Mwizukulu mgikuru said: Mchupi umechakaa na kutoboka kabisa.... Nunueni nguo za ndani nyingi, wala sio ujanja kuwa na boksa moja acheni kudanganyana Click to expand... Utaskia uchumi baba, chupi tangu 2020 mpaka Leo 2024 bado mtu anakomaa nayo tu. Dar hili life sio