ila kweli nissan na mazda ni shiiida, mazda ndio komesha aiseeKama hujui kitu kinapatikana wapi usiseme hamna. Mimi nauza Spare za VW zote, tena Touran ndio ninazo nyingi sana. VW upatikanaji wa spare ni rahisi kuliko hata Nissan na Mazda.
Nimewahi miliki vw touran mwaka 2014 mpaka 2016 ni gari nzuri, ipo comfortable, speed juu body ni nzito quality ya hali ya juu sana sio kama chuma uchwara Toyota. Lakini siwezi kumshauri mtu anunue hiyo gari. Ilinifanya niyaogope magari ya mjerumani kwani ni ugonjwa wa moyo.
Wife aligonga kidogo taa ya mbele 1 ikapasuka sikuweza pata Dar wala Nairobi, nikapata south Africa mjini Johannesburg. Nilinunua pair kama laki 4 ya bongo,shock ups pia nilipata huko.
Ilipata tatizo la gearbox ku-change gears tatizo ambalo ni very common kwa vw za 2003 mpaka 2006 zinazotumia DSG transimition. Ilitakiwa nipate gearbox nyingine au niweke gari juu ya mawe. Pia ilikua na tatizo la check engine light kuwaka mara kwa mara, airbag erro light kuwaka nk .Uwezo wa kuagiza spare nilikua nao lakini ni shida, kama unanua vw basi at least iwe moja ya zile ambazo zipo common Tanzania kama toureg.
Labda cheap na available kwa sasa ila sio miaka miwili nyuma.nilikosa spare kwa dealer wa vw dar nikakosa Nairobi.Ninachoweza kukwambia ulimiliki hio gari ukiwa na limited information. Moja ya VW cheap kumiliki ni Touran. Hivi unajua tofauti ya Touran na Golf mk5 ni body tu? Parts zote zinaingiliana ila inabidi ujue hio fact.
Mimi nauza parts za VW hizo shocks wewe umeagiza SA mimi ninazo (from Germany) nauzia watu hapa Dar.
Konachowaumiza wamiliki wengi wa VW ni mafundi uchwara ambao wanawauzia spares bei mara tatu ya dukani kwasababu wamiliki hamko informed.
Touran zilizopo Tz za zamani sana huwezi kuoata kwa dealer. Miaka miwili nyuma juzi tu zilikuwepo sema hukuwa na taarifa sahihi.Labda cheap na available kwa sasa ila sio miaka miwili nyuma.nilikosa spare kwa dealer wa vw dar nikakosa Nairobi.
Hizo sio stock items, huwa naleta kwa order. Bmw yako ni E90 au E46?
E90 zipo parts nyingi tuE90 mkuu
Thanks...Ninachoweza kukwambia ulimiliki hio gari ukiwa na limited information. Moja ya VW cheap kumiliki ni Touran. Hivi unajua tofauti ya Touran na Golf mk5 ni body tu? Parts zote zinaingiliana ila inabidi ujue hio fact.
Mimi nauza parts za VW hizo shocks wewe umeagiza SA mimi ninazo (from Germany) nauzia watu hapa Dar.
Konachowaumiza wamiliki wengi wa VW ni mafundi uchwara ambao wanawauzia spares bei mara tatu ya dukani kwasababu wamiliki hamko informed.
Duka lako liko wapi?E90 zipo parts nyingi tu
Oil filters
Air filters
Brake pads
Shocks
Wishbones
Plugs
Ignition coils
Etc
Basi anunue tu at his own risk, mi nimetoa experience yangu tu kutokana na umiliki wa hiyo gari. Niliweka uzi kuomba ushauri kabla ya kununua mkuu,kama kweli umefungua ofisi ya kuuza spare za hizi gari basi asante.Touran zilizopo Tz za zamani sana huwezi kuoata kwa dealer. Miaka miwili nyuma juzi tu zilikuwepo sema hukuwa na taarifa sahihi.
Nimewahi miliki vw touran mwaka 2014 mpaka 2016 ni gari nzuri, ipo comfortable, speed juu body ni nzito quality ya hali ya juu sana sio kama chuma uchwara Toyota. Lakini siwezi kumshauri mtu anunue hiyo gari. Ilinifanya niyaogope magari ya mjerumani kwani ni ugonjwa wa moyo.
Wife aligonga kidogo taa ya mbele 1 ikapasuka sikuweza pata Dar wala Nairobi, nikapata south Africa mjini Johannesburg. Nilinunua pair kama laki 4 ya bongo,shock ups pia nilipata huko.
Ilipata tatizo la gearbox ku-change gears tatizo ambalo ni very common kwa vw za 2003 mpaka 2006 zinazotumia DSG transimition. Ilitakiwa nipate gearbox nyingine au niweke gari juu ya mawe. Pia ilikua na tatizo la check engine light kuwaka mara kwa mara, airbag erro light kuwaka nk .Uwezo wa kuagiza spare nilikua nao lakini ni shida, kama unanua vw basi at least iwe moja ya zile ambazo zipo common Tanzania kama toureg.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mahaba niue, ,.Lahaula nafsi yangu...VW tiguan barabarani inavyopelekesha mapigo ya moyo wangu mbio, sasa nikiitafuta si ndio nitalala Muhimbili kama mambo yenyewe ndio haya?
Nita kusupply spare nina deal nazo hiz gari ni gari nzuri sana hutajutaLahaula nafsi yangu...VW tiguan barabarani inavyopelekesha mapigo ya moyo wangu mbio, sasa nikiitafuta si ndio nitalala Muhimbili kama mambo yenyewe ndio haya?
Ofisi yako iko wapi mkuu?Nita kusupply spare nina deal nazo hiz gari ni gari nzuri sana hutajuta
Heko mkuu... Sasa nimeanza kuwaona watu wenye passion... Salute..
Nimewahi miliki vw touran mwaka 2014 mpaka 2016 ni gari nzuri, ipo comfortable, speed juu body ni nzito quality ya hali ya juu sana sio kama chuma uchwara Toyota. Lakini siwezi kumshauri mtu anunue hiyo gari. Ilinifanya niyaogope magari ya mjerumani kwani ni ugonjwa wa moyo.
Wife aligonga kidogo taa ya mbele 1 ikapasuka sikuweza pata Dar wala Nairobi, nikapata south Africa mjini Johannesburg. Nilinunua pair kama laki 4 ya bongo,shock ups pia nilipata huko.
Ilipata tatizo la gearbox ku-change gears tatizo ambalo ni very common kwa vw za 2003 mpaka 2006 zinazotumia DSG transimition. Ilitakiwa nipate gearbox nyingine au niweke gari juu ya mawe. Pia ilikua na tatizo la check engine light kuwaka mara kwa mara, airbag erro light kuwaka nk .Uwezo wa kuagiza spare nilikua nao lakini ni shida, kama unanua vw basi at least iwe moja ya zile ambazo zipo common Tanzania kama toureg.
Avensis ni gari nzuri sana (saloon),ina nafasi ndani, ipo comfortable nk. Zipo kuanzia cc 1900 mpaka 2500 ambapo kuna front wheel drive, rear wheel drive na all wheel drive. Pia sio common sana kama spacio, ist au passo lakini ina share parts na premio rava 4.Tatizo pekee kubwa nililo wahi kulipata ni kufa starter usiku lakini ilipatikana nyingine na kazi ikaendelea,
Ndio toyota anapowapiku wazungu hapo, reliability check ipo juu sana. Gari za mjerumani kibongo bongo ujipange sawasawa.
Ninachoweza kukwambia ulimiliki hio gari ukiwa na limited information. Moja ya VW cheap kumiliki ni Touran. Hivi unajua tofauti ya Touran na Golf mk5 ni body tu? Parts zote zinaingiliana ila inabidi ujue hio fact.
Mimi nauza parts za VW hizo shocks wewe umeagiza SA mimi ninazo (from Germany) nauzia watu hapa Dar.
Konachowaumiza wamiliki wengi wa VW ni mafundi uchwara ambao wanawauzia spares bei mara tatu ya dukani kwasababu wamiliki hamko informed.
Nita kusupply spare nina deal nazo hiz gari ni gari nzuri sana hutajuta
Yaa ila ni durable service parts ni bei za kawaida sana na ukinunua ya petrol ndio safi zaid unakuwa unabadili oil filter tu na air filter mara moja mojaNinaamini na bei za spare parts zimechangamka kidogo, si ndio?