Ni VPN gani iko on fire kwa sasa nchini?

Ni VPN gani iko on fire kwa sasa nchini?

secretarybird

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
2,998
Reaction score
4,948
Habari ya kutwa mzima great thinkers!

Naomba tujuzane VPN ambazo ziko kazini Kwa sasa ili tuendelee kuperuzi mitandaoni. Najua baada ya serikali kupiga ban VPN sasa hivi wahuni watakuwa wamekuja na VPN ambazo ziko faya zaidi ila tatizo ni kwamba wengi wetu hatuzijui tu.

Basi kupitia uzi huu tupeane taarifa juu ya VPN's ambazo ziko on faya ili tuendelee kuburudika.

Kumbukeni kuwa baada ya serikali kupiga marufuku VPN baadhi ya members humu JF wamekuwa nadra sana kuonekana na wangine hawajaonekana kabisa kisa hawana bando mfano mzuri ni yule jamaa ambaye ID yake inafanana na hiki kitu kilichopigwa marufuku.

Naomba tujuzane VPN ambazo ziko active ili JF iwe na active members wengi.
 
Screenshot_20241125_212445_Google Play Store.jpg
 
Screenshot_20241125-222149.png

Kwangu mimi naona hii ndio Best Free VPN kwa sasa. Japokuwa mimi sio mtumiaji wa VPN ila nadhani hii ndio Bora..

Zingatia:
Matumizi ya VPN ni Makosa kisheria.
 
Kama iko playstore haiwezi kuwa free, Nafikiri hujamuelewa huyu jamaa .

Vpn zilizo Playstore karibu zote lazima uwe na bando .
Hee yani! Anataka vitu vya bure ?

Atalipiwa shauri yake
 
Habari ya kutwa mzima great thinkers!

Naomba tujuzane VPN ambazo ziko kazini Kwa sasa ili tuendelee kuperuzi mitandaoni. Najua baada ya serikali kupiga ban VPN sasa hivi wahuni watakuwa wamekuja na VPN ambazo ziko faya zaidi ila tatizo ni kwamba wengi wetu hatuzijui tu.

Basi kupitia uzi huu tupeane taarifa juu ya VPN's ambazo ziko on faya ili tuendelee kuburudika.

Kumbukeni kuwa baada ya serikali kupiga marufuku VPN baadhi ya members humu JF wamekuwa nadra sana kuonekana na wangine hawajaonekana kabisa kisa hawana bando mfano mzuri ni yule jamaa ambaye ID yake inafanana na hiki kitu kilichopigwa marufuku.

Naomba tujuzane VPN ambazo ziko active ili JF iwe na active members wengi.
Code zako tu unaonekana ni sniffer, btw hakuna vpn imefungwa, mlizoea goTi mnadunda na UDP now wamechange protocol, piga script baadhi ya host za zamani zinapiga kazi, ila waliblock baadhi payload kama unaweza inject 302 njoo nikupe host.
 
Code zako tu unaonekana ni sniffer, btw hakuna vpn imefungwa, mlizoea goTi mnadunda na UDP now wamechange protocol, piga script baadhi ya host za zamani zinapiga kazi, ila waliblock baadhi payload kama unaweza inject 302 njoo nikupe host.
Na hiyo ndiyo furaha yangu.
 
Back
Top Bottom