Ni vyema afya na furaha ya maisha viende pamoja

Wow hongera pia maana si kazi rahisi kupungua hivyo .

Thanks kwa ushauri nitazingatia hilo
 
Wow hongera umejitahidi kupungua maana ukipungua hata kilo 5 ni kazi

Last time nacheki nilikuwa 70 hapo , ni ngumu mno kwa maisha ya kitanzania kuimplement bila wanga
Wadada mkiamua kupiga chini wanga mnaweza, kuwa na stoki ya karanga, pendelea kunywa mtindi...ikibidi changanya na matango.
Nilipitisha week nzima bila kuweka sukari mwilini sio chai wala soda...ile week ilivyopita nikavamia masukari!! Ahhha...asee kitambi ndiiii...
 
Asante kwa ushauri kwa hiyo hukutaka kupungua tena baada ya hapo
 
Wow hongera pia maana si kazi rahisi kupungua hivyo .

Thanks kwa ushauri nitazingatia hilo
Shehmeji angu mmoja alikua bonge huyo...hakuenda gym wala kuruka kamba, misosi yake ilikua ni maziwa mtindi matunda na mboga za majani au nafaka zinazo tafunika....alikuja kuwa mwembamba kama katoto cha shule!! sasa hivi bado mwembamba
 
Asante kwa ushauri kwa hiyo hukutaka kupungua tena baada ya hapo
Nataka nimekua mvivu wa mazoezi asee, yaani mvivu hasa, ninacho fanya now ni kula vitu vya kuchemsha i.e mihogo, viazi na magimbi, mie tatizo langu ni kakitambi fulani tuu, sio mnene kivilee.
 
Wanga mzuri ni vyakula vya nyuzi nyuzi...kama mihogo magimbi na viazi vitamu, kula utakua poa...pia usiku usishibe sana. @Weylyne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…