Tunaishi katika dunia iliyojaa hila na udanganyifu. Uaminifu umepotea, na sasa kitanda kinazaa haramu
Mtoto ambae anaonesha tabia zisizoeleweka binafsi namuona haramu
—si kila unayemlea ni wako, na si kila unayemwamini ana nia njema.
Leo nimepitia Facebook, nikaona jambo la kusikitisha na kutisha. Kuna group la wanawake wakishauriana jinsi ya kubambikia wanaume watoto wasiowazalia.
Wengine wanakiri waziwazi kuwa tayari wameshawabambikia watoto wanaume wasiojua lolote.
Unalea mtoto kwa mapenzi, unamuhangaikia, unamuona kama damu yako—kumbe ni mzigo uliobebeshwa kwa hila!
Sasa imagine, umejituma, umehangaika na mtoto kwa miaka, unamuwekea msingi wa maisha, halafu anapokua anageuka kuwa shoga, mwizi, teja au mtu asiye na maadili. Ulimpa kila kitu, lakini kumbe haukujua mwanzo wake
Haukujua kama kweli ni wako. Unakuwa umebeba mzigo wa maisha usioumba, mzigo uliojaa usaliti na udanganyifu.
Unakuta mtoto ametoka kwenye bloodline ya tabia mbovu mbovu directly anakuja kuharibu kizazi chako
Hii ndiyo dunia tunayoishi leo. Wanawake wanahadaiana, wanaume wanatumiwa kama ATM za malezi, na watoto wanalelewa katika misingi ya uongo. Lakini mwisho wa siku, ukweli hauwezi kufichwa milele.
Nini cha kufanya?
DNA test iwe kitu cha kawaida
Wanaume wasibebe kila kitu kwa imani pekee—hakikisha, chunguza, na usiwe mzembe kwa maisha yako.
Watu waache kuishi kwa hila na ujanja wa muda mfupi—maana kizazi cha uongo huleta mzigo wa kweli.
Na zaidi ya yote, tuwe waaminifu kwa familia, kwa watoto, na kwa jamii nzima.
Kwa sababu, kitanda kikizaa haramu, mzigo hauwi wa mtu mmoja—unakua mzigo wa kizazi kizima.
Tafakari.
Mtoto ambae anaonesha tabia zisizoeleweka binafsi namuona haramu
—si kila unayemlea ni wako, na si kila unayemwamini ana nia njema.
Leo nimepitia Facebook, nikaona jambo la kusikitisha na kutisha. Kuna group la wanawake wakishauriana jinsi ya kubambikia wanaume watoto wasiowazalia.
Wengine wanakiri waziwazi kuwa tayari wameshawabambikia watoto wanaume wasiojua lolote.
Unalea mtoto kwa mapenzi, unamuhangaikia, unamuona kama damu yako—kumbe ni mzigo uliobebeshwa kwa hila!
Sasa imagine, umejituma, umehangaika na mtoto kwa miaka, unamuwekea msingi wa maisha, halafu anapokua anageuka kuwa shoga, mwizi, teja au mtu asiye na maadili. Ulimpa kila kitu, lakini kumbe haukujua mwanzo wake
Haukujua kama kweli ni wako. Unakuwa umebeba mzigo wa maisha usioumba, mzigo uliojaa usaliti na udanganyifu.
Unakuta mtoto ametoka kwenye bloodline ya tabia mbovu mbovu directly anakuja kuharibu kizazi chako
Hii ndiyo dunia tunayoishi leo. Wanawake wanahadaiana, wanaume wanatumiwa kama ATM za malezi, na watoto wanalelewa katika misingi ya uongo. Lakini mwisho wa siku, ukweli hauwezi kufichwa milele.
Nini cha kufanya?
DNA test iwe kitu cha kawaida
Wanaume wasibebe kila kitu kwa imani pekee—hakikisha, chunguza, na usiwe mzembe kwa maisha yako.
Watu waache kuishi kwa hila na ujanja wa muda mfupi—maana kizazi cha uongo huleta mzigo wa kweli.
Na zaidi ya yote, tuwe waaminifu kwa familia, kwa watoto, na kwa jamii nzima.
Kwa sababu, kitanda kikizaa haramu, mzigo hauwi wa mtu mmoja—unakua mzigo wa kizazi kizima.
Tafakari.