cypro mangi shayo
Member
- Jan 13, 2012
- 5
- 0
dah kweli unatafuta. Na atafutaye hachoki!
Goodluck!
ni busara not busasa
ha ha ha ha
mie nilidhani msasa
Wewe ndie uliyeandika, sio mimi.
Hehehehe. . . au 'awe wa kisasa' kama kuku mabonge.
ha ha, labda kweli.
Yuko busy na utafutaji utadhani anapalilia kahawa.
Kongosho niambie
Kwa hiyo wakati anamsubiri princess charming wake, atupe habari za jamhuri ya rombo na upaliliaji wa kahawa?
Heheheehe. . . kama ndo anapalilia sasa hivi maana yake faida haiko karibuni. Najitoa kwenye mchakato maana spendi shida mie.
dah kweli unatafuta. Na atafutaye hachoki!
Goodluck!