Ni vyombo gani vya usuruhishi ninavoweza kwenda kabla sijaenda mahakamani?

Ni vyombo gani vya usuruhishi ninavoweza kwenda kabla sijaenda mahakamani?

Rwebo

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2015
Posts
1,418
Reaction score
1,820
Ndugu zangu, kuna deni naidai shule. Nili- supply vyakula na maktaba ninao. Lakini kabla sijaenda mahakamani ningependa nianzie kwenye vyombo vya usuruhishi. Sababu ningependa swala hili limalizike kiiungwana na pia kwenda mahakamani inachukua muda mrefu sana kupata haki yako. Tafadhali naomba msaada wa mawazo na kisheria niende wapi kwa upatanishi?.Ila Nisipopata muafaka nitaenda mahakamani.
 
Anzia serikalini, hususan ngazi za wilaya au kata.
 
Subiri mwaka wa masomo unapoanza tu, na wewe unawasha moto. Hapa hamtasumbuana maana za kukulipa zinakuwepo. Mdaiwa anaamua alipe mambo yaishe. Katikati ya mihula unakuta hata senti hamna mwanawane!
 
Back
Top Bottom