Ni vyuo gani vya Nje ya Tanzania ni vizuri kwa Kozi ya Afya?

Ni vyuo gani vya Nje ya Tanzania ni vizuri kwa Kozi ya Afya?

Manzile

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2020
Posts
701
Reaction score
1,900
Wakuu Habari zenu,

Wataalam wa fani ya Afya naombeni ushauri.

Ni nchi gani kwa bara la ulaya vyuo vyake viko vizuri kwa fani ya afya upande wa ufamasia.

Nataka nimpeleke dogo huko lakini bado sijajua chuo na nchi ipi nzuri.
 
Wakuu Habari zenu
Wataalam wa fani ya Afya naombeni ushauri.

Ni nchi gani kwa bara la ulaya vyuo vyake viko vizuri kwa fani ya afya upande wa ufamasia.
Nataka nimpeleke dogo huko lakini bado sijajua chuo na nchi ipi nzuri.
Ingia AI uliza, the best university for medicine in USA, Canada, UK, and Australia.
 
Wakuu Habari zenu,

Wataalam wa fani ya Afya naombeni ushauri.

Ni nchi gani kwa bara la ulaya vyuo vyake viko vizuri kwa fani ya afya upande wa ufamasia.

Nataka nimpeleke dogo huko lakini bado sijajua chuo na nchi ipi nzuri.
1.Harvard medical school
2.Yale university
3.John Hopkins
4.Califorja state university
5.Oxford university
6.Universitu of capetown
7.Alexandria university
 
Wakuu Habari zenu,

Wataalam wa fani ya Afya naombeni ushauri.

Ni nchi gani kwa bara la ulaya vyuo vyake viko vizuri kwa fani ya afya upande wa ufamasia.

Nataka nimpeleke dogo huko lakini bado sijajua chuo na nchi ipi nzuri.
Bombey India kwa koila
 
Back
Top Bottom