Ni wakati gani jambo ulipendalo liligeuka kuwa biashara?

Ni wakati gani jambo ulipendalo liligeuka kuwa biashara?

isajorsergio

Platinum Member
Joined
Apr 22, 2018
Posts
4,143
Reaction score
6,560
Habari đź‘‹

Kama swali linavyouliza "At what point in time did your hobby turn into a business?" au Ni wakati gani jambo ulipendalo liligeuka kuwa biashara?

Binafsi jambo/mambo niyapendayo kugeuka na kuwa biashara ni 2012 ilivyoanza kuonesha mwelekeo. Niseme rasmi 2015 mambo niyapendayo ndio yaligeuka na kuwa biashara kwangu.

Ningependa kupata ushuhuda na maoni yako katika masuala uyapendayo na mwaka yalivyogeuka biashara.

Sergio
 
Nilikua napenda sana mashindano ya magari. Sahivi naendesha racing car. Nalipwa.
Wow!

Q1 | Ni mwaka gani jambo hili ulipendalo liligeuka na kuwa biashara/kuanza kulipwa?

Q2 | Unaendesha katika mbio zipi au zinazoandaliwa wapi?
 
Wow!

Q1 | Ni mwaka gani jambo hili ulipendalo liligeuka na kuwa biashara/kuanza kulipwa?

Q2 | Unaendesha katika mbio zipi au zinazoandaliwa wapi?
1. Nilianza penda tokea O-Level. Enzi izo Iringa Samora Stadium ndinga zinawashwa. Nikajuana na moja wa watoto wa vishua waliokua wanashiriki. Nikaanza kujua ABC. Kulipwa nimeanza 2019.

2. Hapa siri. Maana napiga illegal racing za usiku (kubet) na legal za kawaida.
 
1. Nilianza penda tokea O-Level. Enzi izo Iringa Samora Stadium ndinga zinawashwa. Nikajuana na moja wa watoto wa vishua waliokua wanashiriki. Nikaanza kujua ABC. Kulipwa nimeanza 2019.

2. Hapa siri. Maana napiga illegal racing za usiku (kubet) na legal za kawaida.
Ahaa! Mashindano haya katika viwanja yalikuwa yakiandaliwa hakika, sifahamu angali yapo au lah!
-
Oops! Illegal Racing, hizi ndio ambazo zikisikika Alteza, Subaru, Impreza, Mercedes na BMW nyakati za usiku katika miji na maeneo mbalimbali?
 
Back
Top Bottom