Ni wakati gani kampuni inatakiwa kulipa kodi tra?

nyabaheta

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
247
Reaction score
82
Habari wadau.
Inakuwaje pale umesajili kampuni brela lakini bado hujapeleka vielelezo vyako tra kupata tin na leseni na biashara,hapo tra wana uhalali wa kukubana ulipe kodi?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
hapo hakuna kodi malizia hiyo registration then tra watakupiga kodi kupitia your lease agreement ndio watakukata asilimia kidogo
 
hapo hakuna kodi malizia hiyo registration then tra watakupiga kodi kupitia your lease agreement ndio watakukata asilimia kidogo

Asante mkuu,lakini mfano kampuni ipo kama jina tu na haijaanza kuoperate,na mfano nimesajili mwaka huu lakini naenda kutafuta tin baada ya mwaka watanipiga fine ya kuchelewa kwenda kusaka tin?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
asante mkuu,lakini mfano kampuni ipo kama jina tu na haijaanza kuoperate,na mfano nimesajili mwaka huu lakini naenda kutafuta tin baada ya mwaka watanipiga fine ya kuchelewa kwenda kusaka tin?

Sent from my blackberry 8520 using jamiiforums

hapana
 
Asanteni wakuu kwa michango yenu.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…