MWINUKAOSCAR Member Joined Jun 1, 2012 Posts 40 Reaction score 1 Apr 30, 2019 #1 Ni muda gani nafasi ya mdhamini huishia? Baada ya hukumu au baada ya kumaliza kabisa malipo anayodaiwa mtuhumiwa?
Ni muda gani nafasi ya mdhamini huishia? Baada ya hukumu au baada ya kumaliza kabisa malipo anayodaiwa mtuhumiwa?
X_INTELLIGENCE JF-Expert Member Joined Mar 25, 2014 Posts 10,400 Reaction score 14,339 Apr 30, 2019 #2 kesi ikisha futwa kabisa udhamini unaisha kabisa
MWINUKAOSCAR Member Joined Jun 1, 2012 Posts 40 Reaction score 1 Apr 30, 2019 Thread starter #3 OK...mana mtuhumiwa ametoroka. Na alihukumiwa kulipa so hajalipa na kutoroka...
Steven Nguma JF-Expert Member Joined Dec 6, 2016 Posts 1,074 Reaction score 1,147 May 1, 2019 #4 Nafikiri hapo mdhamini ndio anabeba jukumu sasa
P permanides JF-Expert Member Joined May 18, 2013 Posts 11,682 Reaction score 14,241 May 10, 2019 #5 MWINUKAOSCAR said: Ni muda gani nafasi ya mdhamini huishia? Baada ya hukumu au baada ya kumaliza kabisa malipo anayodaiwa mtuhumiwa? Click to expand... Ni pale ambapo - Kesi imeisha Mtuhumiwa katoroka na mdhamini kulipa fungu la dhamana au pale ambapo mdhamini anaomba kujitoa kwenye udhamini wa mtuhumiwa.
MWINUKAOSCAR said: Ni muda gani nafasi ya mdhamini huishia? Baada ya hukumu au baada ya kumaliza kabisa malipo anayodaiwa mtuhumiwa? Click to expand... Ni pale ambapo - Kesi imeisha Mtuhumiwa katoroka na mdhamini kulipa fungu la dhamana au pale ambapo mdhamini anaomba kujitoa kwenye udhamini wa mtuhumiwa.