Wakati muafaka ni pale mnapoanza kufahamiana na kuanzisha mahusiano ili ujue hiyo ''package'' ikoje. Habari za kufichana hazina maana kabisa!!
Kabla hajawa mchumba!!!
Ukimwambia mwanzo kabisa atakutosa.
Anzeni mahusiano baada ya muda mwambie kabla hamjaanza uchumba rasmi ili ajue mtu anaejifunga nae alivyo
OTIS