Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Ndugu zangu wa JF
Naongea kwa upendo na uzalendo mkubwa kwa nchi yangu ya Tanzania
Namzunguzia Ndg Maxence Melo
Huu ni wakati muafaka kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumteua na kumpangia Maxence Melo majukumu makubwa ya Kitaifa. Amekuwa na Utumishi uliotukuka akiwa Mtendaji Mkuu wa Jamii Forums kuanzia 2006. Kipaji chake ni kikubwa bila kusahau ubunifu wake wa hali ya juu
Amepitia na kukabiliana na changamoto mbalimbali kubwa na ndogo za amemudu kukabiliana nazo kikamilifu. Amekuwa na mchango mkubwa kwa nchi yetu kupitia jukwaa maarufu la Mtandao wa Jamii Forums. Amepoekea tuzo mbambalimbali za kimataifa kutokana na kazi zake zilizojaa Weledi mkubwa
Anafahamika, anakubalika pakubwa ndani na nje ya nchi yetu. Ni mtu jasiri na mwenye msimamo usioyumba asiyeogopa kusema na kutetea ukweli. Ni msomi mkubwa, mchapakazi, nwenye Weledi mkubwa kwenye fani yake
Ni Wakati wa kuzika tofauti zilizopo na kumpangia majukumu makubwa ya Kitaifa
Nawasilisha
Naongea kwa upendo na uzalendo mkubwa kwa nchi yangu ya Tanzania
Namzunguzia Ndg Maxence Melo
Huu ni wakati muafaka kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumteua na kumpangia Maxence Melo majukumu makubwa ya Kitaifa. Amekuwa na Utumishi uliotukuka akiwa Mtendaji Mkuu wa Jamii Forums kuanzia 2006. Kipaji chake ni kikubwa bila kusahau ubunifu wake wa hali ya juu
Amepitia na kukabiliana na changamoto mbalimbali kubwa na ndogo za amemudu kukabiliana nazo kikamilifu. Amekuwa na mchango mkubwa kwa nchi yetu kupitia jukwaa maarufu la Mtandao wa Jamii Forums. Amepoekea tuzo mbambalimbali za kimataifa kutokana na kazi zake zilizojaa Weledi mkubwa
Anafahamika, anakubalika pakubwa ndani na nje ya nchi yetu. Ni mtu jasiri na mwenye msimamo usioyumba asiyeogopa kusema na kutetea ukweli. Ni msomi mkubwa, mchapakazi, nwenye Weledi mkubwa kwenye fani yake
Ni Wakati wa kuzika tofauti zilizopo na kumpangia majukumu makubwa ya Kitaifa
Nawasilisha