Utakuwa ni muungano mzuri sana sana sana sana sana! Uchaguzi wa Mwakani hawatapungua ushindi wa kura 40% kwa nafasi ya Raisi na wabunge watafikia 43%.
Ni utafiti ambao nimeufanya mwenyewe kwa sampling method (survey) ikihusisha sample 11,714 za wanachama wa vyama vyote na wengi zaidi ni wanachama wa kutoka CCM.
Utafiti huu ni wa kweli ingawa ni academic kwa ajili ya kukamilisha dissertation yangu Chuo maarufu na kinachoaminika zaidi na sana hapa nchini ambacho siwezi kukitaja.
Ni utafiti ambao nimeufanya mwenyewe kwa sampling method (survey) ikihusisha sample 11,714 za wanachama wa vyama vyote na wengi zaidi ni wanachama wa kutoka CCM.
Utafiti huu ni wa kweli ingawa ni academic kwa ajili ya kukamilisha dissertation yangu Chuo maarufu na kinachoaminika zaidi na sana hapa nchini ambacho siwezi kukitaja.