Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,051
- 12,954
Ushauri wangu kwa Diamond kua wakati ni ukuta na hakuna anaeweza kupambana nao.
Hakuna asiejua kua kwa miaka 8 iliyopita Diamond ametawala kwenye soko la muziki wa kizazi kipya hapa Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla, hakuna.
Baada ya Diamond kupanda chati sana hapa nchini na nje ya nchi aliacha kuperform kwenye matamasha na kumbi zetu za starehe(ukiacha wasafi festival) kwa sababu kua wanalipa pesa kidogo, kuna kipindi nilisikia kua alisema Mbeya hakuna hoteli ya hadhi yake kulala. Hivyo Diamond akatusahau sisi mashabiki wake wa nyumbani tuliompandisha chati kwa vijipesa vyetu, alipofika juu akasema hvyo vijipesa havitoshi yeye kutupatia burudani.
Sasa wakati unakimbia sana, ufalme unaanza kjmomonyoka na soon utaanguka, soko kubwa la mziki wa Diamond ilikua Kenya(mziki wa Diamond unapendwa sana Kenya ila Alikiba anapemdwa Kenya), ndugu zetu wakenya wameanza figisu na asishangae akifika kule akakutana na kesi ya kukwepa kodi na kutakatisha pesa ikammaliza.
Ni wakati muafaka sasa Diamond kurudi kutuburudisha sisi mashabiki wake kwenye bar zetu kama anavyofanya mwenzake Alikiba, nyumbani ni nyumbani.
Diamond, swallow your pride, stand up like a man na uje kwenye vibanda vyetu mashabiki wako utupatie burudani.
Hakuna asiejua kua kwa miaka 8 iliyopita Diamond ametawala kwenye soko la muziki wa kizazi kipya hapa Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla, hakuna.
Baada ya Diamond kupanda chati sana hapa nchini na nje ya nchi aliacha kuperform kwenye matamasha na kumbi zetu za starehe(ukiacha wasafi festival) kwa sababu kua wanalipa pesa kidogo, kuna kipindi nilisikia kua alisema Mbeya hakuna hoteli ya hadhi yake kulala. Hivyo Diamond akatusahau sisi mashabiki wake wa nyumbani tuliompandisha chati kwa vijipesa vyetu, alipofika juu akasema hvyo vijipesa havitoshi yeye kutupatia burudani.
Sasa wakati unakimbia sana, ufalme unaanza kjmomonyoka na soon utaanguka, soko kubwa la mziki wa Diamond ilikua Kenya(mziki wa Diamond unapendwa sana Kenya ila Alikiba anapemdwa Kenya), ndugu zetu wakenya wameanza figisu na asishangae akifika kule akakutana na kesi ya kukwepa kodi na kutakatisha pesa ikammaliza.
Ni wakati muafaka sasa Diamond kurudi kutuburudisha sisi mashabiki wake kwenye bar zetu kama anavyofanya mwenzake Alikiba, nyumbani ni nyumbani.
Diamond, swallow your pride, stand up like a man na uje kwenye vibanda vyetu mashabiki wako utupatie burudani.