Ni wakati muafaka sasa kwa Rwanda kuwekewa vikwazo ili kumaliza vita ya mashariki ya DRC

Ni wakati muafaka sasa kwa Rwanda kuwekewa vikwazo ili kumaliza vita ya mashariki ya DRC

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Waafrika tuache unafiki na woga, tuchukue hatua sasa kuhusu kile kinachoendelea kule mashariki mwa DRC.

Hakuna siri, Rwanda ndio kichocheo kikuu cha vita huko DRC kwa kuwaunga mkono kwa kila kitu waasi wa 23.

Kwa sasa waasi wa 23 inasemekana wamefanikiwa au wanaelekea kuchukua mji muhimu wa Goma, na kama hilo litakuwa kweli basi DRC itakwenda kugawanyika vipande viwili na mauaji kuendelea.

Kumaliza vita hii ni lazima Rwanda iwekewe vikwazo na hivi ni sehemu ya vikwazo ambavyo Rwanda inapaswa kuvikabili.

1. Kusimamishwa uanachama wa Rwanda katika jumuiya ya Afrika mashariki.

2. Kusimamishwa uanachama kwa Rwanda kwenye jumuiya zingine zote za kikanda au kihistoria.

3. Azimio la AU kuitenga Rwanda

4. Kuzuiwa kwa maafisa wa Rwanda kusafiri na kuingia nchi mbalimbali hususani za Africa, Ulaya na Marekani.

5. Kutaifishwa kwa mali za viongozi wa Rwanda katika mataifa mengine.

6. Rwanda kunyimwa mikopo na misaada ya kimataifa.

7. Azimio la UN kuitenga Rwanda kimataifa.

8. Rwanda kunyimwa ushiriki wowote katika mashindano mbalimbali ya michezo kimataifa

9. Kufungwa kwa milango ya kibiashara baina ya Rwanda na nchi zingine.

10. Viongozi wa serikali wa Rwanda kuingizwa kwenye orodha ya washtakiwa kwenye mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita.


Bila hata kupeleka askari, silaha yoyote huko DRC ili kukabiliana na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda, hivyo vikwazo tu vinatosha mnoo kumaliza hiyo vita.
 
Waafrika tuache unafiki na woga, tuchukue hatua sasa kuhusu kile kinachoendelea kule mashariki mwa DRC.

Hakuna siri, Rwanda ndio kichocheo kikuu cha vita huko DRC kwa kuwaunga mkono kwa kila kitu waasi wa 23.

Kwa sasa waasi wa 23 inasemekana wamefanikiwa au wanaelekea kuchukua mji muhimu wa Goma, na kama hilo litakuwa kweli basi DRC itakwenda kugawanyika vipande viwili na mauaji kuendelea.

Kumaliza vita hii ni lazima Rwanda iwekewe vikwazo na hivi ni sehemu ya vikwazo ambavyo Rwanda inapaswa kuvikabili.

1. Kusimamishwa uanachama wa Rwanda katika jumuiya ya Afrika mashariki.

2. Kusimamishwa uanachama kwa Rwanda kwenye jumuiya zingine zote za kikanda au kihistoria.

3. Azimio la AU kuitenga Rwanda

4. Kuzuiwa kwa maafisa wa Rwanda kusafiri na kuingia nchi mbalimbali hususani za Africa, Ulaya na Marekani.

5. Kutaifishwa kwa mali za viongozi wa Rwanda katika mataifa mengine.

6. Rwanda kunyimwa mikopo na misaada ya kimataifa.

7. Azimio la UN kuitenga Rwanda kimataifa.

8. Rwanda kunyimwa ushiriki wowote katika mashindano mbalimbali ya michezo kimataifa

9. Kufungwa kwa milango ya kibiashara baina ya Rwanda na nchi zingine.

10. Viongozi wa serikali wa Rwanda kuingizwa kwenye orodha ya washtakiwa kwenye mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita.


Bila hata kupeleka askari, silaha yoyote huko DRC ili kukabiliana na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda, hivyo vikwazo tu vinatosha mnoo kumaliza hiyo vita.
Njia pekee ni rwanda kufanywa kama gaza basi, hizo nyingne bi siasa mtupu
 
Naunga mkono hoja pia, sema sasa ni nchi ipi ya kulianzisha hili game. South Africa alikuwa yuko nafasi nzuri ya kulianzisha hili
 
Wanasema Ukiona swala anaringa polini jua mfadhiri wake ni simba, Rwanda yaweza kuwa ni kibaraka tu na hizi nchi za africa mashariki zikimgusa tu zinaenda na maji, angalia hayo madini yanayotoka huko mnunuzi ni nani? Na elewa kuwa malighafi yoyote kutoka maeneo ya vita hairuhusiwi kuingia kwenye soko la kimataifa.
 
Waafrika tuache unafiki na woga, tuchukue hatua sasa kuhusu kile kinachoendelea kule mashariki mwa DRC.

Hakuna siri, Rwanda ndio kichocheo kikuu cha vita huko DRC kwa kuwaunga mkono kwa kila kitu waasi wa 23.

Kwa sasa waasi wa 23 inasemekana wamefanikiwa au wanaelekea kuchukua mji muhimu wa Goma, na kama hilo litakuwa kweli basi DRC itakwenda kugawanyika vipande viwili na mauaji kuendelea.

Kumaliza vita hii ni lazima Rwanda iwekewe vikwazo na hivi ni sehemu ya vikwazo ambavyo Rwanda inapaswa kuvikabili.

1. Kusimamishwa uanachama wa Rwanda katika jumuiya ya Afrika mashariki.

2. Kusimamishwa uanachama kwa Rwanda kwenye jumuiya zingine zote za kikanda au kihistoria.

3. Azimio la AU kuitenga Rwanda

4. Kuzuiwa kwa maafisa wa Rwanda kusafiri na kuingia nchi mbalimbali hususani za Africa, Ulaya na Marekani.

5. Kutaifishwa kwa mali za viongozi wa Rwanda katika mataifa mengine.

6. Rwanda kunyimwa mikopo na misaada ya kimataifa.

7. Azimio la UN kuitenga Rwanda kimataifa.

8. Rwanda kunyimwa ushiriki wowote katika mashindano mbalimbali ya michezo kimataifa

9. Kufungwa kwa milango ya kibiashara baina ya Rwanda na nchi zingine.

10. Viongozi wa serikali wa Rwanda kuingizwa kwenye orodha ya washtakiwa kwenye mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita.


Bila hata kupeleka askari, silaha yoyote huko DRC ili kukabiliana na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda, hivyo vikwazo tu vinatosha mnoo kumaliza hiyo vita.
Yeah! Vikwazo vikali Sana
 
Dialogue pekee ndio itamaliza mgogoro wa Kongo ya Mashariki.
 
Hawa Warwanda wamejaa Tz vijijin wanamiliki ardhi kubwa na mifugo na migration zipo tuu Jk alifukuza kipindi kile
 
Waafrika tuache unafiki na woga, tuchukue hatua sasa kuhusu kile kinachoendelea kule mashariki mwa DRC.

Hakuna siri, Rwanda ndio kichocheo kikuu cha vita huko DRC kwa kuwaunga mkono kwa kila kitu waasi wa 23.

Kwa sasa waasi wa 23 inasemekana wamefanikiwa au wanaelekea kuchukua mji muhimu wa Goma, na kama hilo litakuwa kweli basi DRC itakwenda kugawanyika vipande viwili na mauaji kuendelea.

Kumaliza vita hii ni lazima Rwanda iwekewe vikwazo na hivi ni sehemu ya vikwazo ambavyo Rwanda inapaswa kuvikabili.

1. Kusimamishwa uanachama wa Rwanda katika jumuiya ya Afrika mashariki.

2. Kusimamishwa uanachama kwa Rwanda kwenye jumuiya zingine zote za kikanda au kihistoria.

3. Azimio la AU kuitenga Rwanda

4. Kuzuiwa kwa maafisa wa Rwanda kusafiri na kuingia nchi mbalimbali hususani za Africa, Ulaya na Marekani.

5. Kutaifishwa kwa mali za viongozi wa Rwanda katika mataifa mengine.

6. Rwanda kunyimwa mikopo na misaada ya kimataifa.

7. Azimio la UN kuitenga Rwanda kimataifa.

8. Rwanda kunyimwa ushiriki wowote katika mashindano mbalimbali ya michezo kimataifa

9. Kufungwa kwa milango ya kibiashara baina ya Rwanda na nchi zingine.

10. Viongozi wa serikali wa Rwanda kuingizwa kwenye orodha ya washtakiwa kwenye mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita.


Bila hata kupeleka askari, silaha yoyote huko DRC ili kukabiliana na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda, hivyo vikwazo tu vinatosha mnoo kumaliza hiyo vita.
Huyo rais wa congo aache uhanisi na yeye unakuwaje na magenerali kibao kwenye nchi na bado nchi inavamiwa na kumegwa na unawapa mishahara na posho za nini sasa.
 
Waafrika tuache unafiki na woga, tuchukue hatua sasa kuhusu kile kinachoendelea kule mashariki mwa DRC.

Hakuna siri, Rwanda ndio kichocheo kikuu cha vita huko DRC kwa kuwaunga mkono kwa kila kitu waasi wa 23.

Kwa sasa waasi wa 23 inasemekana wamefanikiwa au wanaelekea kuchukua mji muhimu wa Goma, na kama hilo litakuwa kweli basi DRC itakwenda kugawanyika vipande viwili na mauaji kuendelea.

Kumaliza vita hii ni lazima Rwanda iwekewe vikwazo na hivi ni sehemu ya vikwazo ambavyo Rwanda inapaswa kuvikabili.

1. Kusimamishwa uanachama wa Rwanda katika jumuiya ya Afrika mashariki.

2. Kusimamishwa uanachama kwa Rwanda kwenye jumuiya zingine zote za kikanda au kihistoria.

3. Azimio la AU kuitenga Rwanda

4. Kuzuiwa kwa maafisa wa Rwanda kusafiri na kuingia nchi mbalimbali hususani za Africa, Ulaya na Marekani.

5. Kutaifishwa kwa mali za viongozi wa Rwanda katika mataifa mengine.

6. Rwanda kunyimwa mikopo na misaada ya kimataifa.

7. Azimio la UN kuitenga Rwanda kimataifa.

8. Rwanda kunyimwa ushiriki wowote katika mashindano mbalimbali ya michezo kimataifa

9. Kufungwa kwa milango ya kibiashara baina ya Rwanda na nchi zingine.

10. Viongozi wa serikali wa Rwanda kuingizwa kwenye orodha ya washtakiwa kwenye mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita.


Bila hata kupeleka askari, silaha yoyote huko DRC ili kukabiliana na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda, hivyo vikwazo tu vinatosha mnoo kumaliza hiyo vita.
Mkuu DRC ina vikundi vingapi vya waasi?

Je, tatizo lao ni kikundi kimoja tu cha M23?

Na je, ukiacha matatizo ya Rwanda, hatuhisi DRC ana matatizo ameshindwa kuyatatua?

La mwisho, matatizo ya DRC yameanza kabla ya Rwanda kuwa na nguvu ni kwa nini matatizo yake hayaishi wakati nchi zilizokuwa na waasi kama yeye kama vile Rwanda, Burundi, Congo Brazzaville, Cameroon na Uganda kwa uchache wao wamemalizana na waasi wao?
 
Mkuu mzozo wa Congo kuhusishwa na Rwanda, kuna mengi yajulikanayo na wayajuayo..
Wawekaji vikwazo ndio wanunuzi wakubwa wa maliasi ya Congo..
Tujiulize.. Kibri cha Rwanda kinatoka wapi?
Waasi wanapata wapi silaha nzito nzito na za kisasa? Nguo na vyakula wanapata wapi?
European.. Uganda na Rwanda wacheni kuua ndugu zetu....
 
M23 wamefika katika viunga vya mji wa Bukavu wakijiweka teyari kuukomboa.
 
Waafrika tuache unafiki na woga, tuchukue hatua sasa kuhusu kile kinachoendelea kule mashariki mwa DRC.

Hakuna siri, Rwanda ndio kichocheo kikuu cha vita huko DRC kwa kuwaunga mkono kwa kila kitu waasi wa 23.

Kwa sasa waasi wa 23 inasemekana wamefanikiwa au wanaelekea kuchukua mji muhimu wa Goma, na kama hilo litakuwa kweli basi DRC itakwenda kugawanyika vipande viwili na mauaji kuendelea.

Kumaliza vita hii ni lazima Rwanda iwekewe vikwazo na hivi ni sehemu ya vikwazo ambavyo Rwanda inapaswa kuvikabili.

1. Kusimamishwa uanachama wa Rwanda katika jumuiya ya Afrika mashariki.

2. Kusimamishwa uanachama kwa Rwanda kwenye jumuiya zingine zote za kikanda au kihistoria.

3. Azimio la AU kuitenga Rwanda

4. Kuzuiwa kwa maafisa wa Rwanda kusafiri na kuingia nchi mbalimbali hususani za Africa, Ulaya na Marekani.

5. Kutaifishwa kwa mali za viongozi wa Rwanda katika mataifa mengine.

6. Rwanda kunyimwa mikopo na misaada ya kimataifa.

7. Azimio la UN kuitenga Rwanda kimataifa.

8. Rwanda kunyimwa ushiriki wowote katika mashindano mbalimbali ya michezo kimataifa

9. Kufungwa kwa milango ya kibiashara baina ya Rwanda na nchi zingine.

10. Viongozi wa serikali wa Rwanda kuingizwa kwenye orodha ya washtakiwa kwenye mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita.


Bila hata kupeleka askari, silaha yoyote huko DRC ili kukabiliana na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda, hivyo vikwazo tu vinatosha mnoo kumaliza hiyo vita.

1. Suala hili la Mgogoro wa huko DRC (Zaire) ni Complex sana. Lina historia ndefu Sana.

Isipokuwa kuna Ukweli mchungu Sana kwamba Watu/Raia wengi wa DRC wa kutoka kwenye maeneo hayo ya pembezoni mwa nchi hiyo ikiwamo na Majimbo ya Kivu na Katanga huwa wanahesabika Kama Raia wa Daraja Pili au raia wa Daraja la mwisho kabisa kwenye nchi hiyo. Hii ni kutokana na Mfumo au Sera ya Siasa mbaya sana za Kuwagawa Watu ili Watawala wa nchi hiyo ya DRC waweze kutawala kiurahisi. Kuna tatizo la Siasa za Ubaguzi kwa Watu wa maeneo hayo ya Mashariki mwa nchi hiyo ya DRC na kuwapendelea zaidi Watu wengine wa kutoka katika maeneo mengine ya nchi hiyo. Watu wengi wa Mashariki mwa DRC kwa kiasi kikubwa Sana wanahesabika Kama siyo WaCongoman, hiki ndio chanzo kikubwa Sana Cha kuwepo kwa huo Mgogoro usiokoma, ukiachana na vyanzo vingine kama vile kuwepo kwa rasilimali nyingi sana za madini ya vito, udhaifu wa Jeshi la DRC, Udhaifu wa Utawala wa nchi hiyo ya DRC, n.k..

2. Siyo rahisi hata kidogo kulipiga na kulifurusha Jeshi la M23 kwa sababu nyingi sana. Mathalani, Watu/Wananchi wengi Sana waishio kwenye maeneo hayo ya Kivu wanawaunga mkono Wapinzani wa Utawala wa nchi hiyo ya DRC, M23 wanaungwa mkono na Wananchi. Aidha, Utawala wa nchi hiyo ya DRC ni dhaifu Sana kupita kiasi. Bad enough, hata Jeshi la nchi hiyo nalo pia ni dhaifu Sana, na pia kuna Mawakala wengi Sana wa M23 ndani ya Serikali na ndani ya Jeshi la Serikali ya DRC. Kuna vitendo vingi Sana vya Uasi wa chini chini ndani ya Jeshi la Serikali ya DRC.

3. Kwa bahati mbaya sana, hata hapa nchini Tanzania, Watu wengi wa kutoka katika mikoa ya pembezoni mwa nchi kama vile Mkoa wa Kigoma, pia wamekuwa wakichukuliwa kama ni 'Wakimbizi.' Tatizo hili lipo sana katika nchi hii, Mimi binafsi nimewahi kushuhudia mara nyingi sana mambo ya namna hii. Kuna ' bad sentiment' miongoni mwa Watu kuwaona Watu wa kutoka Kigoma kuwa ni Wakimbizi kutoka katika nchi za jirani, tatizo hili lipo katika Jamii zetu za Tanzania.
 
Back
Top Bottom