Ni wakati muafaka wa kubadili jina la timu ya Taifa.

Ni wakati muafaka wa kubadili jina la timu ya Taifa.

maiyanga1

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
1,340
Reaction score
1,832
Timu ya Taifa ya mpira wa migu imekuwa inaitwa Taifa Stars kwa miaka Mingi. Kwa maoni yangu nadhani sasa ni wakati wa kubadilisha jina hilo ukizingatia kwamba halielezi chochote zaidi ya kiswanglish. Wakati huu timu inapoenda kushiriki kombe la Africa itapendeza zaidi kama itaenda na jina ambalo lina tija hata kiutalii. Mfano tukiita Tanzanite, Itakuwa inaelezea madini ambayo hayapatikani sehemu nyingine yoyote duniani.
 
Naunga hoja ila in negative way.... Ina dharirisha taifa ina tujumuisha wote ata tusio ishabikia mwisho aibu ina tukuta na sisi[emoji41]
IMG_20181118_141546_331.jpeg
 
Wanafunzi wasio na uwezo mkubwa huwa wabunifu wa kujiita majina bora. Ila wale wenye uwezo hutumia tu jina alilopewa na mzazi.
 
Back
Top Bottom