Kwanza nimpongeze Mhe.Rais wa Awamu ya nne kwa hatua aliyofikia ya kutuletea Katiba Mpya. Ni wakati muafaka sisi wananchi KUDAI KATIBA MPYA.
Katiba mpya ndiyo itakuwa suluhisho la kila kitu ili nchi iendeshwe kwa UTAWALA BORA,WELEDI NA HAKI. Kwenye Katiba mpya kasoro nyingi zitarekebishwa na malalamiko ya wananchi yatapungua sana. Kwenye Katiba mpya
(1) Waziri hatakuwa Mbunge.
(2) Jaji Mkuu ataomba kazi.
(3) Inspekta jenerali wa Polisi ataomba kazi.
(4) Mkurugenzi wa Uchaguzi ataiomba kazi.
(5) Mkurugenzi wa TAKUKURU ataiomba hiyo kazi.
(6) Makamishna wa Uchaguzi wataomba hizo kazi nk.
Tujifunze kwa wenzetu wa Kenya juzi hapa nafasi ya Jaji Mkuu walitangza na watu wakaomba na tayari amepatikana Jaji Mkuu.
Mwaka ujao uwe mwaka wa kumalizia vipengele vilivyobaki vya Katiba Mpya.
NAWATAKIA CHRISTMAS NJEMA NA MWAKA MPYA.
Katiba mpya ndiyo itakuwa suluhisho la kila kitu ili nchi iendeshwe kwa UTAWALA BORA,WELEDI NA HAKI. Kwenye Katiba mpya kasoro nyingi zitarekebishwa na malalamiko ya wananchi yatapungua sana. Kwenye Katiba mpya
(1) Waziri hatakuwa Mbunge.
(2) Jaji Mkuu ataomba kazi.
(3) Inspekta jenerali wa Polisi ataomba kazi.
(4) Mkurugenzi wa Uchaguzi ataiomba kazi.
(5) Mkurugenzi wa TAKUKURU ataiomba hiyo kazi.
(6) Makamishna wa Uchaguzi wataomba hizo kazi nk.
Tujifunze kwa wenzetu wa Kenya juzi hapa nafasi ya Jaji Mkuu walitangza na watu wakaomba na tayari amepatikana Jaji Mkuu.
Mwaka ujao uwe mwaka wa kumalizia vipengele vilivyobaki vya Katiba Mpya.
NAWATAKIA CHRISTMAS NJEMA NA MWAKA MPYA.