Ni wakati sasa tuwe na Hospitali-Tiba za Vyuo Vikuu

Ni wakati sasa tuwe na Hospitali-Tiba za Vyuo Vikuu

Mbagamoyo

Member
Joined
Dec 14, 2020
Posts
18
Reaction score
49
Heri ya Mwaka 2021!

Nimetafakari mengi juu ya mwelekeo kiafya katika bara la Africa na changamoto za tafiti pamoja utegemezi wetu kwenye tafiti na ufumbuzi wa matatizo ya Kiafya nje ya Africa.

Maradhi ndio chanzo cha mfumo tiba Africa. Wakati kwingineko Afya Bora ndio chanzo cha mifumo yao ya Kiafya.

Maradhi mapya ya kidunia (Global Pandemics) na hatari zake kwa baadhi ya jamii kutoweka. Zinatia msukumo mpya kwa AU kuliona jambo hili kipekee.

Kuna mengi ya kujifunza kwa wenzetu. Mfano, Makampuni ya madawa kwetu mengi kimsingi ni maduka ya kuuza dawa za nje. Na kinachoitwa Pharmaceutical Companies kinapaswa kuwa tu medicine sales points. Wenzetu wanatengeneza.

Vyuo vikuu vyetu vya tiba havina tofauti na secondary zetu kulikofundishwa Alternative to Chemestry, Alternative to Physics, Alternative to Biology. Yaani unakuwa na shule ya Sayansi za asili ambayo haina maabara. Sawa tu unakuwa na Chuo kikuu cha Tiba ambacho hakina hospitali.

Yaani tuna vyuo vinavyofanya zaidi Marketing Research badala ya Tafiti za kiasili za vyanzo vya maradhi.

Imetokea umelazwa hospital A, asbh wanapita wanafunzi katika makundi na zile nguo nyeupe wakijopiga na selfie. Wanakukuta kitandani wanaulizana Kama wako kwenye KI (Key Informant) interview. Halafu wanaenda zao. Na hutawaona tena.

Africa sasa tuwe na Hospitali- Vyuo Tiba. Kinyume na happy tutaangamia anagamio kuu.

NB kwenye Africa unaweza kuweka jina la nchi yoyote.

Kila la heri 2021
 
wazo zuri sasa nani afanye hilo huku wao wakiugua wanakwea pipa moja kwa moja wankwenda hukohuko kwny tasisi imara
 
Oxford University wameweza kutengeneza chanjo ya Covid katika muda mfupi sana. Sijui MUHAS, KCMC, Bugando, St. Francis wanaweza nini hawa ndugu zetu

Kile ki-zahanati cha pale Mlimani sijui kama kimeboreshwa. Wao walikuwa wanatoa panadol tu kwa kila ugonjwa
 
Oxford University wameweza kutengeneza chanjo ya Covid katika muda mfupi sana. Sijui MUHAS, KCMC, Bugando, St. Francis wanaweza nini hawa ndugu zetu
Ndo hasa ninachojiuliza, na Kuna vyuo utasikia mahafali ya 30. Yaani kimeshaliza wataalam tiba mara 30.
 

Haya mambo yamefanyika bwana👇👇👇​

Muhimbili yatakiwa​

kuimarisha utafiti na uvumbuzi​

Mar 15 2019

Wataalam wa afya nchini wametakiwa kujikita zaidi katika kufanya utafiti na uvumbuzi ili kuleta matokeo chanya katika utoaji wa huduma za afya.

Wito huo umetolewa leo na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Prof. Charles Majinge wakati akifungua kongamano la kwanza la kisayansi kuhusu kutafsiri tafiti kwa vitendo katika kutoa huduma za tiba lililofanyika Hospitali ya Mloganzila.
 
Mbona zipo shida hamuziwezeshi
Kuna Mlonganzila,MUhas,UDom ,,St.Fransis Ifakara na pale Rufaa mbeya kuna Chuo cha utafiti wa magonjwa ya kuambukiza,pia Kcmc,Bugando nk
 
Heri ya Mwaka 2021!

Nimetafakari mengi juu ya mwelekeo kiafya katika bara la Africa na changamoto za tafiti pamoja utegemezi wetu kwenye tafiti na ufumbuzi wa matatizo ya Kiafya nje ya Africa.

Maradhi ndio chanzo cha mfumo tiba Africa. Wakati kwingineko Afya Bora ndio chanzo cha mifumo yao ya Kiafya.

Maradhi mapya ya kidunia (Global Pandemics) na hatari zake kwa baadhi ya jamii kutoweka. Zinatia msukumo mpya kwa AU kuliona jambo hili kipekee.

Kuna mengi ya kujifunza kwa wenzetu. Mfano, Makampuni ya madawa kwetu mengi kimsingi ni maduka ya kuuza dawa za nje. Na kinachoitwa Pharmaceutical Companies kinapaswa kuwa tu medicine sales points. Wenzetu wanatengeneza.

Vyuo vikuu vyetu vya tiba havina tofauti na secondary zetu kulikofundishwa Alternative to Chemestry, Alternative to Physics, Alternative to Biology. Yaani unakuwa na shule ya Sayansi za asili ambayo haina maabara. Sawa tu unakuwa na Chuo kikuu cha Tiba ambacho hakina hospitali.

Yaani tuna vyuo vinavyofanya zaidi Marketing Research badala ya Tafiti za kiasili za vyanzo vya maradhi.

Imetokea umelazwa hospital A, asbh wanapita wanafunzi katika makundi na zile nguo nyeupe wakijopiga na selfie. Wanakukuta kitandani wanaulizana Kama wako kwenye KI (Key Informant) interview. Halafu wanaenda zao. Na hutawaona tena.

Africa sasa tuwe na Hospitali- Vyuo Tiba. Kinyume na happy tutaangamia anagamio kuu.


NB kwenye Africa unaweza kuweka jina la nchi yoyote.

Kila la heri 2021
Wapi kijengwe hapa Tz?
 
Mloganzila ni university and Teaching hospital sijuwi imekuwaje hadi ikawa ordinary hospital.
Si jiwe aliwanyang'anya na kuiweka chini ya mnh.
Muhas wamefight kujenga ile teaching hospital na baadae chuo kiwe kule kule lakini mkulu akawapora mwisho
 
Heri ya Mwaka 2021!

Nimetafakari mengi juu ya mwelekeo kiafya katika bara la Africa na changamoto za tafiti pamoja utegemezi wetu kwenye tafiti na ufumbuzi wa matatizo ya Kiafya nje ya Africa.

Maradhi ndio chanzo cha mfumo tiba Africa. Wakati kwingineko Afya Bora ndio chanzo cha mifumo yao ya Kiafya.

Maradhi mapya ya kidunia (Global Pandemics) na hatari zake kwa baadhi ya jamii kutoweka. Zinatia msukumo mpya kwa AU kuliona jambo hili kipekee.

Kuna mengi ya kujifunza kwa wenzetu. Mfano, Makampuni ya madawa kwetu mengi kimsingi ni maduka ya kuuza dawa za nje. Na kinachoitwa Pharmaceutical Companies kinapaswa kuwa tu medicine sales points. Wenzetu wanatengeneza.

Vyuo vikuu vyetu vya tiba havina tofauti na secondary zetu kulikofundishwa Alternative to Chemestry, Alternative to Physics, Alternative to Biology. Yaani unakuwa na shule ya Sayansi za asili ambayo haina maabara. Sawa tu unakuwa na Chuo kikuu cha Tiba ambacho hakina hospitali.

Yaani tuna vyuo vinavyofanya zaidi Marketing Research badala ya Tafiti za kiasili za vyanzo vya maradhi.

Imetokea umelazwa hospital A, asbh wanapita wanafunzi katika makundi na zile nguo nyeupe wakijopiga na selfie. Wanakukuta kitandani wanaulizana Kama wako kwenye KI (Key Informant) interview. Halafu wanaenda zao. Na hutawaona tena.

Africa sasa tuwe na Hospitali- Vyuo Tiba. Kinyume na happy tutaangamia anagamio kuu.


NB kwenye Africa unaweza kuweka jina la nchi yoyote.

Kila la heri 2021
Hii umekaa vizuri, Prof Ndalichako na mamlaka husika walione andiko hili na kulifanyia kazi
 
Heri ya Mwaka 2021!

Nimetafakari mengi juu ya mwelekeo kiafya katika bara la Africa na changamoto za tafiti pamoja utegemezi wetu kwenye tafiti na ufumbuzi wa matatizo ya Kiafya nje ya Africa.

Maradhi ndio chanzo cha mfumo tiba Africa. Wakati kwingineko Afya Bora ndio chanzo cha mifumo yao ya Kiafya.

Maradhi mapya ya kidunia (Global Pandemics) na hatari zake kwa baadhi ya jamii kutoweka. Zinatia msukumo mpya kwa AU kuliona jambo hili kipekee.

Kuna mengi ya kujifunza kwa wenzetu. Mfano, Makampuni ya madawa kwetu mengi kimsingi ni maduka ya kuuza dawa za nje. Na kinachoitwa Pharmaceutical Companies kinapaswa kuwa tu medicine sales points. Wenzetu wanatengeneza.

Vyuo vikuu vyetu vya tiba havina tofauti na secondary zetu kulikofundishwa Alternative to Chemestry, Alternative to Physics, Alternative to Biology. Yaani unakuwa na shule ya Sayansi za asili ambayo haina maabara. Sawa tu unakuwa na Chuo kikuu cha Tiba ambacho hakina hospitali.

Yaani tuna vyuo vinavyofanya zaidi Marketing Research badala ya Tafiti za kiasili za vyanzo vya maradhi.

Imetokea umelazwa hospital A, asbh wanapita wanafunzi katika makundi na zile nguo nyeupe wakijopiga na selfie. Wanakukuta kitandani wanaulizana Kama wako kwenye KI (Key Informant) interview. Halafu wanaenda zao. Na hutawaona tena.

Africa sasa tuwe na Hospitali- Vyuo Tiba. Kinyume na happy tutaangamia anagamio kuu.


NB kwenye Africa unaweza kuweka jina la nchi yoyote.

Kila la heri 2021
Hii umekaa vizuri, Prof Ndalichako na mamlaka husika walione andiko hili na kulifanyia kazi
 
Kama wanafunzi wako karibu na hospitali ya serikali au hospitali-dada ya binafsi hiyo inatosha kufanyia mafunzo ya vitendo. Si lazima shule igeuke hospitali, si lazima iitwe hospitali ya kufundishia, na si lazima tuige kila la beberu.

Changamoto zetu ni vifaa tiba, bajeti za tafiti, ajira za waganga, magari ya dharura na sheria zinazolinda zaidi ajira za waganga kuliko kuadhibu uzembe wa kitaalaam.

Kuitwa "chuo cha kufundishia" haijawahi kuwa changamoto ya kitaifa ya afya.
 
Hata Muhimbili ni Chuo Kikuu, KCMC ni Chuo Kikuu pia, ...
 
Mloganzila si Ni hospital ya wanafunzi, ukienda pale hata kama unaumwa mafua, andaa kabisa nyumbani kwako hela ya kukodi Coaster na ya kununua jeneza
 
Back
Top Bottom