Road toll inakatwa katika kila lita ya mafuta unayonunua.Kama mada inavyosema, ifike mahali tuwe na road Toll.Ikiwekwa Tsh elf30 kwa mwezi yaani Tsh 1000 kwa siku tutapata pesa nyingi. Hii iwe kwa kila gari na pikipiki iwe Tsh elf15 yaani Tsh 500 kwa siku. Lakini pia askari wa Polisi wawe ma kazi ya kusimamia sheria tu. Nina uhakika Tsh 30000 na 15000 zikikikusanywa kwa mwezi haitakua na ulazima wa Road Lisence.
Naomba kuwasilisha.
Mkuu upo taifa lipi, mbona umekurupuka kwani wewe hujuwi kama road toll inakatwa ama muhemko tuKama mada inavyosema, ifike mahali tuwe na road Toll.Ikiwekwa Tsh elf30 kwa mwezi yaani Tsh 1000 kwa siku tutapata pesa nyingi. Hii iwe kwa kila gari na pikipiki iwe Tsh elf15 yaani Tsh 500 kwa siku. Lakini pia askari wa Polisi wawe ma kazi ya kusimamia sheria tu. Nina uhakika Tsh 30000 na 15000 zikikikusanywa kwa mwezi haitakua na ulazima wa Road Lisence.
Naomba kuwasilisha.
Ok, kumbe inafanyika hivyo hadi sasa?Road toll inakatwa katika kila lita ya mafuta unayonunua.
Ndiyo.Ok, kumbe inafanyika hivyo hadi sasa?
UNAJUA BEI YA MAFUTA INA NINI NANINI??Kama mada inavyosema, ifike mahali tuwe na road Toll.Ikiwekwa Tsh elf30 kwa mwezi yaani Tsh 1000 kwa siku tutapata pesa nyingi. Hii iwe kwa kila gari na pikipiki iwe Tsh elf15 yaani Tsh 500 kwa siku. Lakini pia askari wa Polisi wawe ma kazi ya kusimamia sheria tu. Nina uhakika Tsh 30000 na 15000 zikikikusanywa kwa mwezi haitakua na ulazima wa Road Lisence.
Naomba kuwasilisha.
Inawezekana kwake ni neno jipya....Mkuu upo taifa lipi, mbona umekurupuka kwani wewe hujuwi kama road toll inakatwa ama muhemko tu