HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,108
- 1,132
Habarini,
Anasa na ufahari umezidi kwa watu hawa kiasi kwamba wanajiona wao ni special hapa diniani kwa kuishi kwa nguvu na hela za watu.
Iweje wanaopeleka hela kanikani na miaokitini walipe kodi ila wanaopokea hizo hela wasilipe kodi?
Huo ni ujinga mkubwa na kama kuna hoja ya maandamano basi yawe juu ya hili na kodi zote za njia hii ni vyema zokaelekezwa mahospitalini kununua vifaa tiba,madawa na posho jwa watumishi i.e: mafaktari,wauguzi,nk
Anasa na ufahari umezidi kwa watu hawa kiasi kwamba wanajiona wao ni special hapa diniani kwa kuishi kwa nguvu na hela za watu.
Iweje wanaopeleka hela kanikani na miaokitini walipe kodi ila wanaopokea hizo hela wasilipe kodi?
Huo ni ujinga mkubwa na kama kuna hoja ya maandamano basi yawe juu ya hili na kodi zote za njia hii ni vyema zokaelekezwa mahospitalini kununua vifaa tiba,madawa na posho jwa watumishi i.e: mafaktari,wauguzi,nk