SoC01 Ni wakati sasa wa Wazawa kuanzisha Family Companies na kwenda kujifunza kwa Wasomali

SoC01 Ni wakati sasa wa Wazawa kuanzisha Family Companies na kwenda kujifunza kwa Wasomali

Stories of Change - 2021 Competition

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,537
Reaction score
8,824
Trend ya Dunia inakoelekea ni wakati sasa wa Familia nyingi kuwa na Famiily Business yenye nguvu na kusimamiwa na Familia.

Kama ikibidi ni kwenda kutafuta ushauri kwa wasomali na Wahindi au Waarabu kwani wao wanaweza vipi kuwa na Biashara za Familia na wanatoboa? Sisi tuna nini hadi tushindwe kuendesha Familly Business?

Tatizo la ajira ni kubwa sana kiasi kwamba ajira zinatolewa kwa kujuana au ajira ni chache sana kwa sasa.

Watanzania wenye asili ya somal, Wahindi na Waarabu wako less affected sana na shida ya ajira kwa hapa Tanzania, hata kama wanasaka ajira ni kwa kiwango cha chini sana ukilinganisha na sisi Wazawa,

Hawa Wasomali au Wahindi wana Familly Business zao ambapo kijana huajiriwa mule na wakati mwingine huja kupewa potion kabisa, na hufanya kwa uaminifu na upendo mkubwa sana na kwa uchungu sana.

Sisi Wazawa tuna Biashara, au Familia nyingi zina Biashara ila ni kawaida kabisa kukuta Kijana anazunguka na Bahasha mtaani ilihali nyumbani Mama au Baba ana Project ambayo ingeweza kumuajiri kijana.Hatupendani, Hatuaminiani? Kwa nini hatuaminianu?

Kuna wakati nilikuwa Musoma kuna Familly Friend wetu ni Mfanya Biashara mkubwa sana ana Project za kutosha, sasa siku nimemtembelea akataka ushauri kutoka kwangu wa watoto wake kwamba wakasomee nini make walikuwa wanaenda Chuo na wengine walikuwa Secondary, nilijitahidi sana kutoa ushauri, na nilishauri wale watoto wasije kuwa watafuta ajira, kwamba watoto wasome masomo yenye uelekeo wa kile yeye anacho kifanya yaani Biashara, Ili warudi kumpa sapoti, nilishauri hadi aina za Kozi kama za Masoko, Uhasibu, Manunuzi na Ugavu, IT na sheria, Lakini nazani sikueleweka matokeo yake kuna walio enda kusomea Ualimu, wengine Maendeleo ya Jamii na kadhalika, Sasa Mzee kwa sasa Umuri umeenda na pia anaumwa Kisukari, Watoto wake wako Mikoani huko wamejiriwa, yeye yuko mwenyewe anapambana.Huwa nawaza ikitoke Mungu kamuita project zake zinaweza ishia pale,

Hebu sisi Wazawa tujaribu sasa kuwa na Program za Familia kuendeleza Biashara ili pia tupunguzie Mzigo Serikali wa kuajiri na tutuoe nafasi kwa zile Familia zisizo na Miradi wapate kazi kuliko kwenda kubanana nao kwenye ajira.

Tukiendelea na utamaduni wa kwamba Biashara ya Familia ni kuiba tu, kuna kuhujumiana sijui ikapanda ikashuka sisi ndo tutakao athirika sana.

Hebu tujifunze kutokana na makosa ya huko nyuma na tunayo yaona kila siku mitaani, pia tuifunze kwa wenzetu Wasomali, Wahindi na Waarabu, kama wao wanaweza na sisi tunaweza pia.

Kumaliza vyuo na kwenda kufanya kazi kwenye Biashara za Familia zitasaidia sana hata kupunguza Jam ya watafuta kazi. Tujaribu kabla hatuja fixiwa.
 
Upvote 10
Kwenye hili suala
Wazazi wengi naona wanadharau shughuli wanazofanya
Wanaona kwa vijana wao wasomi haziwafai
Wazazi wengi wanapenda ile mtoto wangu yuko tra bot etc
 
Kwenye hili suala
Wazazi wengi naona wanadharau shughuli wanazofanya
Wanaona kwa vijana wao wasomi haziwafai
Wazazi wengi wanapenda ile mtoto wangu yuko tra bot etc
Na ndo shida zilipo, Huwa Mzazi anaweza kuwa na Ng'ombe hadi 20 wa maziwa anaona sio business kabisa, kumbe kuna utajiri mkubwa mbo hapo
 
Bado tuna fikra za kitumwa ubongoni, hadi usiku utapokwisha.
 
Na ndo shida zilipo, Huwa Mzazi anaweza kuwa na Ng'ombe hadi 20 wa maziwa anaona sio business kabisa, kumbe kuna utajiri mkubwa mbo hapo
Yap wanaona ni shughuli ambayo haiendani na usomi wa mtoto
Wanataka mtoto apate kazi ya oficn hata kama atalipwa 300k
 
Maneno mazuri umeandkika mkuu hilo liko sahihi kabisa ila kwetu naona tumemezwa na ubinafsi sana na hicho ndicho kinachotufelisha
 
Triend ya Dunia inako elekea ni wakati sasa wa Familia nyingi kuwa na Famiily Business yenye nguvu na kusimamiwa na Familia.

Kama ikibidi ni kwenda kutafuta ushauri kwa wasomali na Wahindi au Waarabu kwani wao wanaweza vipi kuwa na Biashara za Familia na wanatoboa? Sisi tuna nini hadi tushindwe kuendesha Familly Business?

Tatizo la ajira ni kubwa sana kiasi kwamba ajira zinatolewa kwa kujuana au ajira ni chache sana kwa sasa.

Watanzania wenye asili ya somal, Wahindi na Waarabu wako less affected sana na shida ya ajira kwa hapa Tanzania, hata kama wanasaka ajira ni kwa kiwango cha chini sana ukilinganisha na sisi Wazawa,

Hawa Wasomali au Wahindi wana Familly Business zao ambapo kijana huajiriwa mule na wakati mwingine huja kupewa potion kabisa, na hufanya kwa uaminifu na upendo mkubwa sana na kwa uchungu sana.

Sisi Wazawa tuna Biashara, au Familia nyingi zina Biashara ila ni kawaida kabisa kukuta Kijana anazunguka na Bahasha mtaani ilihali nyumbani Mama au Baba ana Project ambayo ingeweza kumuajiri kijana.Hatupendani, Hatuaminiani? Kwa nini hatuaminianu?

Kuna wakati nilikuwa Musoma kuna Familly Friend wetu ni Mfanya Biashara mkubwa sana ana Project za kutosha, sasa siku nimemtembelea akataka ushauri kutoka kwangu wa watoto wake kwamba wakasomee nini make walikuwa wanaenda Chuo na wengine walikuwa Secondary, nilijitahidi sana kutoa ushauri, na nilishauri wale watoto wasije kuwa watafuta ajira, kwamba watoto wasome masomo yenye uelekeo wa kile yeye anacho kifanya yaani Biashara, Ili warudi kumpa sapoti, nilishauri hadi aina za Kozi kama za Masoko, Uhasibu, Manunuzi na Ugavu, IT na sheria, Lakini nazani sikueleweka matokeo yake kuna walio enda kusomea Ualimu, wengine Maendeleo ya Jamii na kadhalika, Sasa Mzee kwa sasa Umuri umeenda na pia anaumwa Kisukari, Watoto wake wako Mikoani huko wamejiriwa, yeye yuko mwenyewe anapambana.Huwa nawaza ikitoke Mungu kamuita project zake zinaweza ishia pale,

Hebu sisi Wazawa tujaribu sasa kuwa na Program za Familia kuendeleza Biashara ili pia tupunguzie Mzigo Serikali wa kuajiri na tutuoe nafasi kwa zile Familia zisizo na Miradi wapate kazi kuliko kwenda kubanana nao kwenye ajira.

Tukiendelea na utamaduni wa kwamba Biashara ya Familia ni kuiba tu, kuna kuhujumiana sijui ikapanda ikashuka sisi ndo tutakao athirika sana.

Hebu tujifunze kutokana na makosa ya huko nyuma na tunayo yaona kila siku mitaani, pia tuifunze kwa wenzetu Wasomali, Wahindi na Waarabu, kama wao wanaweza na sisi tunaweza pia.

Kumaliza vyuo na kwenda kufanya kazi kwenye Biashara za Familia zitasaidia sana hata kupunguza Jam ya watafuta kazi. Tujaribu kabla hatuja fixiwa.
Nakuelewa sana ktk hili
Ni jambo muhimu sana mimi napractice
 
Nidhamu ya pamoja tu, wazazi waheshimu watoto na watoto wa heshimu wazazi.

Sasa kiafrika utasikia mzazi anamwambia mwanae wewe mtoto wa juzi unajua nini?, Kisa tu yeye katangulia kuona jua anasahau kuna kusoma na kujifunza.

Kwa mwafrika mweusi hii bado sana sababu wazazi/walezi wengi ni wajuaji. Hawakubali kabisa kufundishwa na vijana wao.

Jambo pekee mzazi wa kiafrika anaweza kubali fundishwa na mwanae na akawa msikivu ni namna ya kutumia smartphone
 
Triend ya Dunia inako elekea ni wakati sasa wa Familia nyingi kuwa na Famiily Business yenye nguvu na kusimamiwa na Familia.

Kama ikibidi ni kwenda kutafuta ushauri kwa wasomali na Wahindi au Waarabu kwani wao wanaweza vipi kuwa na Biashara za Familia na wanatoboa? Sisi tuna nini hadi tushindwe kuendesha Familly Business?

Tatizo la ajira ni kubwa sana kiasi kwamba ajira zinatolewa kwa kujuana au ajira ni chache sana kwa sasa.

Watanzania wenye asili ya somal, Wahindi na Waarabu wako less affected sana na shida ya ajira kwa hapa Tanzania, hata kama wanasaka ajira ni kwa kiwango cha chini sana ukilinganisha na sisi Wazawa,

Hawa Wasomali au Wahindi wana Familly Business zao ambapo kijana huajiriwa mule na wakati mwingine huja kupewa potion kabisa, na hufanya kwa uaminifu na upendo mkubwa sana na kwa uchungu sana.

Sisi Wazawa tuna Biashara, au Familia nyingi zina Biashara ila ni kawaida kabisa kukuta Kijana anazunguka na Bahasha mtaani ilihali nyumbani Mama au Baba ana Project ambayo ingeweza kumuajiri kijana.Hatupendani, Hatuaminiani? Kwa nini hatuaminianu?

Kuna wakati nilikuwa Musoma kuna Familly Friend wetu ni Mfanya Biashara mkubwa sana ana Project za kutosha, sasa siku nimemtembelea akataka ushauri kutoka kwangu wa watoto wake kwamba wakasomee nini make walikuwa wanaenda Chuo na wengine walikuwa Secondary, nilijitahidi sana kutoa ushauri, na nilishauri wale watoto wasije kuwa watafuta ajira, kwamba watoto wasome masomo yenye uelekeo wa kile yeye anacho kifanya yaani Biashara, Ili warudi kumpa sapoti, nilishauri hadi aina za Kozi kama za Masoko, Uhasibu, Manunuzi na Ugavu, IT na sheria, Lakini nazani sikueleweka matokeo yake kuna walio enda kusomea Ualimu, wengine Maendeleo ya Jamii na kadhalika, Sasa Mzee kwa sasa Umuri umeenda na pia anaumwa Kisukari, Watoto wake wako Mikoani huko wamejiriwa, yeye yuko mwenyewe anapambana.Huwa nawaza ikitoke Mungu kamuita project zake zinaweza ishia pale,

Hebu sisi Wazawa tujaribu sasa kuwa na Program za Familia kuendeleza Biashara ili pia tupunguzie Mzigo Serikali wa kuajiri na tutuoe nafasi kwa zile Familia zisizo na Miradi wapate kazi kuliko kwenda kubanana nao kwenye ajira.

Tukiendelea na utamaduni wa kwamba Biashara ya Familia ni kuiba tu, kuna kuhujumiana sijui ikapanda ikashuka sisi ndo tutakao athirika sana.

Hebu tujifunze kutokana na makosa ya huko nyuma na tunayo yaona kila siku mitaani, pia tuifunze kwa wenzetu Wasomali, Wahindi na Waarabu, kama wao wanaweza na sisi tunaweza pia.

Kumaliza vyuo na kwenda kufanya kazi kwenye Biashara za Familia zitasaidia sana hata kupunguza Jam ya watafuta kazi. Tujaribu kabla hatuja fixiwa.

[emoji1433][emoji1433]
 
Umeandika ukweli mtupu ubalikiwe Sana
 
Back
Top Bottom