Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Naomba nimpe kibarua pia nimpongeze January Makamba, kwa uongozi safi wa wizara husika, hakika upele umepata mkunaji.
Lengo la uzi huu ni kumuomba Makamba kuwaalika wawakilishi wa viwanda vya China hapa nchini, katika sabasaba 2025, ili wawakilishi hao wafanye kazi mbalimbali ikiwemo kuwasaidia wafanyabiashara wa ngazi ya kati katika kuagiza mizigo na kununua mizigo mbalimbali katika viwanda vyao vilivyopo huko China.
Hii itasaidia sana katika kuleta uaminifu wa kibiashara baina ya wafanyabiashara wa kati na wauzaji halisi, kwa halisi.
Hili litasaidia hata mamlaka zetu za kikodi kupata pato halisi na stahili. Sorry nafahamu wazo hili litapingwa kwelikweli na mabwanyenye!
Lengo la uzi huu ni kumuomba Makamba kuwaalika wawakilishi wa viwanda vya China hapa nchini, katika sabasaba 2025, ili wawakilishi hao wafanye kazi mbalimbali ikiwemo kuwasaidia wafanyabiashara wa ngazi ya kati katika kuagiza mizigo na kununua mizigo mbalimbali katika viwanda vyao vilivyopo huko China.
Hii itasaidia sana katika kuleta uaminifu wa kibiashara baina ya wafanyabiashara wa kati na wauzaji halisi, kwa halisi.
Hili litasaidia hata mamlaka zetu za kikodi kupata pato halisi na stahili. Sorry nafahamu wazo hili litapingwa kwelikweli na mabwanyenye!