imeanza kufuatilia stori za hawa watu hasa kipindi kile cha msiba namna zilivyo trend kwenye mitandao ya kijamii.
Lakini leo nimeshtushwa baada ya kusikia yule mama wa marehemu ameitisha press conference na kuweka bayana kuwa yule marehemu hakuwa wa yule Peter ambae ndie alimzika.
Kwa kweli hata kama hawa watu wana ugomvi hakutakiwa kuanza kuita vyombo vya habari na kusema maneno hayo, yule mtoto ameisha fariki wamlindie heshima yake maana hana kosa.
Lakini pia ni wakati wa bwana Peter Zakaria kuwadai gharama zote alizomhudumia yule mtoto mpaka anafariki, haiwezekani abebeshwe majukumu ambayo siyo yake ilihali baba wa mtoto yupo, ilikuwaje yule mwanamke aendelee kuhitaji huduma ya mtoto toka kwa bwana Peter ilihali akijua mtoto sio wake, huu ni utapeli, bwana Peter adai gharama zake maana wamemwaga ugali basi amalizie Mboga.
Lakini leo nimeshtushwa baada ya kusikia yule mama wa marehemu ameitisha press conference na kuweka bayana kuwa yule marehemu hakuwa wa yule Peter ambae ndie alimzika.
Kwa kweli hata kama hawa watu wana ugomvi hakutakiwa kuanza kuita vyombo vya habari na kusema maneno hayo, yule mtoto ameisha fariki wamlindie heshima yake maana hana kosa.
Lakini pia ni wakati wa bwana Peter Zakaria kuwadai gharama zote alizomhudumia yule mtoto mpaka anafariki, haiwezekani abebeshwe majukumu ambayo siyo yake ilihali baba wa mtoto yupo, ilikuwaje yule mwanamke aendelee kuhitaji huduma ya mtoto toka kwa bwana Peter ilihali akijua mtoto sio wake, huu ni utapeli, bwana Peter adai gharama zake maana wamemwaga ugali basi amalizie Mboga.