Ni wakati wa kuchukua waamuzi kutoka nje ya nchi

rodrick alexander

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
16,784
Reaction score
23,312
Mchezo wa mpira wa miguu ni miongoni mwa michezo inayovuta hisia za wengi haoa nchini na nje ya nchi lakini kutokana na matukio yanayoendelea ya waamuzi kuja na maamuzi yao ni wazi tunapoelekea sio pazuri nawashauri bodi ya ligi na TFF kwa mechi kubwa ni bora wakachukua waamuzi kutoka nje ya nchi au hata Zanzibar.

Kkwani kufanya hivyo kutawafanya waamuzi wajiulize na pia wajutie kukosa posho za mechi kubwa na pia kukosa pesa wanazojongwa kwa sababu maamuzi kama ya leo yakitokea sikubya mechi ya simba na yanga ni wazi kungekuwa na maafa makubwa TFF, bodi ya ligi wasilazimishe timu fulani ziwe wawakilishi wakati hazina uwezo
 
Haya ni mahojiano baada ya mechi
 

Attachments

  • VID-20200630-WA0005.mp4
    11.2 MB
Mwamba anawasalimia
 

Attachments

  • IMG-20200630-WA0182.jpg
    45.1 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…