Ni wakati wa kuondoa viongozi waovu wanaofadhiliwa na wawekezaji kugombea ubunge

Ni wakati wa kuondoa viongozi waovu wanaofadhiliwa na wawekezaji kugombea ubunge

Uda

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2010
Posts
811
Reaction score
623
Hii ni fursa rasmi kwa CCM na Serikali ya CCM chini ya Mheshimiwa John Pombe Magufuli kuwafutilia mbali viongozi wote waliotumia fedha za wawekezaji kujipatia madaraka.

Wapo baadhi ya viongozi tena wengi wao walijipatia fedha kutoka ugjaibuni na kujiunga na upinzani na walifanikiwa sana kuihenyesha CCM mwaka 2015.

Viongozi hawa bado watarudi kwa wafadhili wao na kuwahakikishia kuwa watatetea maslahi ya wafadhili kisa wamerudi CCM na kuaminiwa.
kupitia waraka huu mfupi, ni muhimu kwa CCM kuhakikisha inatuondolea hawa puppets ili inchi iendelee kuwa salama.
 
Utopolo mtupu ccm nichama cha watu wasio na umeme na maji vijijini.
 
TAKUKURU na Kamati za maadili za vyama zifuatilie wagombea wote wanaochukua fedha kwa wafadhili feki ili kugombea ubunge.
 
Mbunge anaahidi mamilioni kwa niaba ya mfadhili halafu akishapata ubunge anashirikiana na mfadhili kupiga mamilioni.
 
Kwani hao puppets ni Upinzani Pekee?

2015-2020 Miswada mingi ya Bungeni inapitishwa na Chama kipi? Yote hayo kwa sababu ya uwingi wao.

Hiyo Miswada ina-favour Wananchi au Foreigners?

Nyani Haoni..............

Maboresho yafanywe ndani ya chama
 
Back
Top Bottom