mimi ni mdau wa cwt na declare interest,cwt sasa inaelekea kubadilika kwa katiba mpya ya cwt wastaafu wote watapewa mkono wa kwaheli,pia katika kila ngaz ya uongoz wameweka nafasi ya vijana ili kuleta mabadiliko katika utendaji lakini pia kuna kitengo cha dharura wewe mwl kama umefiwa na mtu wa karibu unauguliwa nenda kwenye tawi la cwt ukiwa na kitambulisho utasaidiwa.kama kuna swali niulizeni ila ctokuwa hewani muda wote