Ni wakati wa Sabaya na wengineo kuachiwa huru

Ni wakati wa Sabaya na wengineo kuachiwa huru

Lituye

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
1,864
Reaction score
5,695
Sisi tulio nje ya CCM hatufurahii kabisa kuona mtu yeyote akiteswa au kuonewa kwa sababu yeyote Ile japokuwa wapo Wana CCM wengi hufurahia kuona mateso ya watu wengine hususani kwa sababu za za kisiasa.Sisi tumejiapiza kuwa tutasema kweli daima na fitina kwetu mwiko.

Naposema ni wakati wa Sabaya na wengineo kuachiwa HURU sio kuwa nafurahishwa na matendo au tuhuma anazo tuhumiwa Sabaya hapana bali nachukizwa na Ubaguzi tunaotendewa sisi wananchi mbele ya sheria.

Sabaya na Kingai wote wawili wanatuhumiwa na jamii kutenda jinai. Haiwezekani Sabaya atenguliwe na kufunguliwa kesi huku Kingai akipandishwa cheo. Huu ni ubatili mtupu (Double standard) mteuaji ajue hivyo, Dunia ijue hivyo, Kingai mwenywe ajue hivyo na Watanganyika sio wajinga.

Na hii iwe fundisho kwetu kuwa hakuna aliye salama Mbele ya mfumo kandamizi usio jali haki uwe CCM au upinzani. Ni wakati wa kupinga dhuruma na uonevu na kudai KATIBA mpya ya wananchi. Watu wenye Akili wanao msemo kuwa mtu mmoja akitendewa jinai ni sawa na jamii yote imetendewa jinai.

Maendeleo hayana Vyamaa.
 
Mzee wa PGO na kubambika kesi sasa ni DCI halafu kuna mijitu inakataa katiba mpya.
 
Kila mwenye Akili timamu anaona ni wakati wa kudai KATIBA mpya sasa huu ubatili tumechoshwa nao.
Na vipi ikitokea katiba mpya imepatikana lakini hawaifuatishi itakuwaje? Umewahi kulifikiria hilo?chukulia mfano hii katiba ya sasa kuna baadhi ya mambo hayafuatishwi je mmechukua hatua gani?

Mimi sina ushabiki wa upande wowote ila najaribu kukupa logic tu kisha utafakari polepole kwa muda wako bila shinikizo wala kufuata mkumbo.
 
Na vipi ikitokea katiba mpya imepatikana lakini hawaifuatishi itakuwaje? Umewahi kulifikiria hilo?chukulia mfano hii katiba ya sasa kuna baadhi ya mambo hayafuatishwi je mmechukua hatua gani?

Mimi sina ushabiki wa upande wowote ila najaribu kukupa logic tu kisha utafakari polepole kwa muda wako bila shinikizo wala kufuata mkumbo.
KATIBA hii inazuia kuwashitaki mahalifu haya Sasa ngoja ije KATIBA inayo weza kuwashitaki halafu utauliza swali lako tutakapo mshitaki kamanda Zero atueleze nani aliye mpiga Risasi Tundu Lissu.
 
Katiba mpya ni sasa..!
Sabaya na aliyemteua wote ni majambazi hastahili kuwepo kwenye uso wa dunia hii pendwa ya mungu. Aliyemteua Kafka kibudu. Hata akitolewa na yeye ATAKUFA KAMA ALIYEMTEUA.
 
Sisi tulio nje ya CCM hatufurahii kabisa kuona mtu yeyote akiteswa au kuonewa kwa sababu yeyote Ile japokuwa wapo Wana CCM wengi hufurahia kuona mateso ya watu wengine hususani kwa sababu za za kisiasa.Sisi tumejiapiza kuwa tutasema kweli daima na fitina kwetu mwiko.

Naposema ni wakati wa Sabaya na wengineo kuachiwa HURU sio kuwa nafurahishwa na matendo au tuhuma anazo tuhumiwa Sabaya hapana bali nachukizwa na Ubaguzi tunaotendewa sisi wananchi mbele ya sheria.

Sabaya na Kingai wote wawili wanatuhumiwa na jamii kutenda jinai. Haiwezekani Sabaya atenguliwe na kufunguliwa kesi huku Kingai akipandishwa cheo. Huu ni ubatili mtupu (Double standard) mteuaji ajue hivyo, Dunia ijue hivyo, Kingai mwenywe ajue hivyo na Watanganyika sio wajinga.

Na hii iwe fundisho kwetu kuwa hakuna aliye salama Mbele ya mfumo kandamizi usio jali haki uwe CCM au upinzani. Ni wakati wa kupinga dhuruma na uonevu na kudai KATIBA mpya ya wananchi. Watu wenye Akili wanao msemo kuwa mtu mmoja akitendewa jinai ni sawa na jamii yote imetendewa jinai.

Maendeleo hayana Vyamaa.
Point tupu umeongea kiongozi
 
Sisi tulio nje ya CCM hatufurahii kabisa kuona mtu yeyote akiteswa au kuonewa kwa sababu yeyote Ile japokuwa wapo Wana CCM wengi hufurahia kuona mateso ya watu wengine hususani kwa sababu za za kisiasa.Sisi tumejiapiza kuwa tutasema kweli daima na fitina kwetu mwiko.

Naposema ni wakati wa Sabaya na wengineo kuachiwa HURU sio kuwa nafurahishwa na matendo au tuhuma anazo tuhumiwa Sabaya hapana bali nachukizwa na Ubaguzi tunaotendewa sisi wananchi mbele ya sheria.

Sabaya na Kingai wote wawili wanatuhumiwa na jamii kutenda jinai. Haiwezekani Sabaya atenguliwe na kufunguliwa kesi huku Kingai akipandishwa cheo. Huu ni ubatili mtupu (Double standard) mteuaji ajue hivyo, Dunia ijue hivyo, Kingai mwenywe ajue hivyo na Watanganyika sio wajinga.

Na hii iwe fundisho kwetu kuwa hakuna aliye salama Mbele ya mfumo kandamizi usio jali haki uwe CCM au upinzani. Ni wakati wa kupinga dhuruma na uonevu na kudai KATIBA mpya ya wananchi. Watu wenye Akili wanao msemo kuwa mtu mmoja akitendewa jinai ni sawa na jamii yote imetendewa jinai.

Maendeleo hayana Vyamaa.
Point tupu umeongea kiongozi
 
Sabaya na Kingai wote wawili wanatuhumiwa na jamii kutenda jinai. Haiwezekani Sabaya atenguliwe na kufunguliwa kesi huku Kingai akipandishwa cheo. Huu ni ubatili mtupu (Double standard) mteuaji ajue hivyo, Dunia ijue hivyo, Kingai mwenywe ajue hivyo na Watanganyika sio wajing
7Ya aliingia kichwa kichwa wakati hana connection za kutosha.

Ona sasa anazidi kuozea jela haamini kabisa
 
Sabaya na aliyemteua wote ni majambazi hastahili kuwepo kwenye uso wa dunia hii pendwa ya mungu. Aliyemteua Kafka kibudu. Hata akitolewa na yeye ATAKUFA KAMA ALIYEMTEUA.
Hoja za huyu KENGE zimekaa kijingajinga tu
 
Very soon Sabaya atateuliwa kuwa DPP ama kuwa mkurugenzi wa TISS.
 
Back
Top Bottom