kimanganuni
JF-Expert Member
- Dec 14, 2015
- 324
- 170
Waliomaliza kilimo(sua),wpewe ardhi kwenye vikundi, kandokando ya mito mf moro! Waaanze kilimo cha umwagiliji,eg apple,tunanunua s,afrika,mpunga nk,wanachokosa vijana ni mitaji tu ,wapo walioitimu hydromrchanics etc,nini mOno uako ktk kufanikisha hili?