kimanganuni
JF-Expert Member
- Dec 14, 2015
- 324
- 170
Problem is systemic risk ndo maana hata banks ngumu ku fund agri-value chainWaliomaliza kilimo(sua),wpewe ardhi kwenye vikundi, kandokando ya mito mf moro! Waaanze kilimo cha umwagiliji,eg apple,tunanunua s,afrika,mpunga nk,wanachokosa vijana ni mitaji tu ,wapo walioitimu hydromrchanics etc,nini mOno uako ktk kufanikisha hili?
wakati wakuwaapisha wakuu wa mikoa.. raisi aliwaagiza kama unavyosema akasema vijana wapewe maeneo walime ..siyo vijana wanakaa na kucheza pool.Mimi nakushauri tafuta wenzako nenda kwenye ofisi ya mkuu wa mkoa omba eneo watakupa au wizarani. Kuna mfuko wa vijana kwenye kila wilaya ambao unachangiwa na halmashauri shiling milioni tano na wizara milioni tano. vijana walio kwenye vikundi wanatakiwa kuzikopa na kuzirudisha bila intrest.Waliomaliza kilimo(sua),wpewe ardhi kwenye vikundi, kandokando ya mito mf moro! Waaanze kilimo cha umwagiliji,eg apple,tunanunua s,afrika,mpunga nk,wanachokosa vijana ni mitaji tu ,wapo walioitimu hydromrchanics etc,nini mOno uako ktk kufanikisha hili?
Aisee we nenda kajifie mbali . Kila kitu siasaWaza kungine tofauti na icho
Kwann nasema hvo mwenendo wa RAISI wetu haitaji anything new from his pipo
Kama una kazi fanya kazi yako hao achana nao
Pambana tu na hali yako kaka
Urasimu ndio shidawakati wakuwaapisha wakuu wa mikoa.. raisi aliwaagiza kama unavyosema akasema vijana wapewe maeneo walime ..siyo vijana wanakaa na kucheza pool.Mimi nakushauri tafuta wenzako nenda kwenye ofisi ya mkuu wa mkoa omba eneo watakupa au wizarani. Kuna mfuko wa vijana kwenye kila wilaya ambao unachangiwa na halmashauri shiling milioni tano na wizara milioni tano. vijana walio kwenye vikundi wanatakiwa kuzikopa na kuzirudisha bila intrest.
Hili neno pambana na hali yako nazani ndo mwisho wa watu kuwazaWaza kungine tofauti na icho
Kwann nasema hvo mwenendo wa RAISI wetu haitaji anything new from his pipo
Kama una kazi fanya kazi yako hao achana nao
Pambana tu na hali yako kaka