Ni wakati wa TFF kuja na kombe la ligi lijulikanalo.

Spartacus boy

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,727
Reaction score
3,464
Ukiangalia ligi za timu nyingine hususan Ulaya, kombe la mshindi wa league huwa ni lenye umbo na muonekano ule ule miaka na miaka.
Shida ni sisi hapa. Msimu huu utaona mshindi huu kapewa liko hvi msimu ujao liko hv. Vurugu tupu.
Tff mnaboa kabisa. Jitathimini.
Content credit: tweeter @ spotstz
makombe yenu ndio hayo
 
TIFUTIFU hakuna hayo mawazo ya kuipa thamani ligi yetu kwa kuwa na nembo ya tuzo yenye kujulikana kwa wepesi. TIFUTIFU ni kikundi cha watu wenye kuishi kwa jasho la vijana wa Kitanzania walioamua kufanya mpira kama maisha yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…