Pre GE2025 Ni wakati wa vyama pinzani kufanya mandamano ya amani kupinga utekaji wa wafuasi wao unaoendelea Nchini

Pre GE2025 Ni wakati wa vyama pinzani kufanya mandamano ya amani kupinga utekaji wa wafuasi wao unaoendelea Nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Kuelekea chaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025 kuna utekaji wa raia wanaounga mkono vyama pinzani wengine wakipotezwa kabisa.

Lengo linaweza kuwa kuwatisha raia kujihusisha na siasa au kuogopa kuikosoa serikali.

Moja ya njia ya strategy ya kukomesha huu ukatili ni vyama pinzani kutoa kauli na kuitisha mandamano ya amani kama walofanya miezi kadhaa nyuma.

Ikumbukwe polisi wamekana kuhusika hivyo imebaki kitendawili kujua nani wanahusika Japo polisi ni mtuhumiwa mmojawapo kwani wao ndio chombo cha kulinda amani na watu kadhaa walichukuliwa kwa staili ya kutekwa kuna tetesi ya wao kuhusika?
 
Upinzani kwenyewe hali si shwari. Mpk hali ikitulia ndiyo maandamano yatapangwa.
 
Kuelekea chaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025 kuna utekaji wa raia wanaounga mkono vyama pinzani wengine wakipotezwa kabisa.

Lengo linaweza kuwa kuwatisha raia kujihusisha na siasa au kuogopa kuikosoa serikali.

Moja ya njia ya strategy ya kukomesha huu ukatili ni vyama pinzani kutoa kauli na kuitisha mandamano ya amani kama walofanya miezi kadhaa nyuma.

Ikumbukwe polisi wamekana kuhusika hivyo imebaki kitendawili kujua nani wanahusika Japo polisi ni mtuhumiwa mmojawapo kwani wao ndio chombo cha kulinda amani na watu kadhaa walichukuliwa kwa staili ya kutekwa kuna tetesi ya wao kuhusika?
Mzee wa chopa anataka siasa za kistaarabu. Ha ha haaa
 
Back
Top Bottom