Hajastaarabika tu..!Hahaha captàin Yondani Ramos sio mrahisi kiasi hicho
Mmesahau mlivyolia mpaka Yondani akafungiwa mechi kadhaa tena yule mbwatukaji wenu mpaka 'maneno ya kebehi' aliyatoa! Ikibidi John Boko naye aombe radhi kwa yule beki wa Mwadui aliyemsukumia konde la kisogoni!Bado najiuliza
Ni kwanini wadau wa michezo wamelalamika sana kwa kitendo kibaya alicho fanya Kotei dhidi ya Maiko.
Na kitendo alichokifanya Yondani dhidi ya Kwasi hakijatiliwa uzito mkubwa.
Au kwakuwa Gadiel Mauko ni Mtanzania na Kotei ni mgeni, na kama ilivyo kwa Mtanzania Yondani kwa mgeni Kwasi...!
Au kwakuwa Gadieli ni Yanga na Kotei ni Simba...!
Na Kwasi ni Simba na Yondani ni Yanga...!
Bado najiuliza.
Kwanini Yondani haombi radhi wala barua haziandikwi TFF...!
Ndipo your ways tulivyo wanafikiBado najiuliza
Ni kwanini wadau wa michezo wamelalamika sana kwa kitendo kibaya alicho fanya Kotei dhidi ya Maiko.
Na kitendo alichokifanya Yondani dhidi ya Kwasi hakijatiliwa uzito mkubwa.
Au kwakuwa Gadiel Mauko ni Mtanzania na Kotei ni mgeni, na kama ilivyo kwa Mtanzania Yondani kwa mgeni Kwasi...!
Au kwakuwa Gadieli ni Yanga na Kotei ni Simba...!
Na Kwasi ni Simba na Yondani ni Yanga...!
Bado najiuliza.
Kwanini Yondani haombi radhi wala barua haziandikwi TFF...!
Yondani hajawahi kumwomba radhi Kwasi.Mmesahau mlivyolia mpaka Yondani akafungiwa mechi kadhaa tena yule mbwatukaji wenu mpaka 'maneno ya kebehi' aliyatoa! Ikibidi John Boko naye aombe radhi kwa yule beki wa Mwadui aliyemsukumia konde la kisogoni!
Mkuu mbona ishu ya Yondani ilinyoshewa bango sana tena kuzidi hata hii ya Kotei.Bado najiuliza
Ni kwanini wadau wa michezo wamelalamika sana kwa kitendo kibaya alicho fanya Kotei dhidi ya Maiko.
Na kitendo alichokifanya Yondani dhidi ya Kwasi hakijatiliwa uzito mkubwa.
Au kwakuwa Gadiel Mauko ni Mtanzania na Kotei ni mgeni, na kama ilivyo kwa Mtanzania Yondani kwa mgeni Kwasi...!
Au kwakuwa Gadieli ni Yanga na Kotei ni Simba...!
Na Kwasi ni Simba na Yondani ni Yanga...!
Bado najiuliza.
Kwanini Yondani haombi radhi wala barua haziandikwi TFF...!
Duu we jamaa! Ni kweli Yondani hakuomba radhi lakini alipewa adhabu na Tff labda hukufuatilia ile ishu ilivyoisha! Vipi kuhusu nahodha wenu bin Boko aliomba radhi kwa yule jamaa aliyemtwanga konde la kisogoni? Siungi mkono wachezaji watovu wa nidhamu popote walipo!Yondani hajawahi kumwomba radhi Kwasi.
Wala Yondani hajawahi kupewa adhabu yoyote kwa kosa la kumtemea makohozi kwa makusudi Asante Kwasi.
Tunataka haki sawa kwa wote, Kotei kaomba radhi wazi kabisa kwenye vyombo vya habari.
Ni wapi Yondani aliomba radhi kwa kumtemea makohozi yake machafu kwa makusudi Asante Kwasi ?
Usilete ushabiki wa timu.
Lini Yondani kaomba radhi au kuadhibiwa ?
Kuomba radhi ni utashi wa mtu lakini kwa yondani sheria zilifuatwa na adhabu inayostahili yondani alipewa ndo tunachotaka kwa kotei hatua stahiki zichukuliwe we kijana wa manara acha kubwabwaja hapaYondani hajawahi kumwomba radhi Kwasi.
Wala Yondani hajawahi kupewa adhabu yoyote kwa kosa la kumtemea makohozi kwa makusudi Asante Kwasi.
Tunataka haki sawa kwa wote, Kotei kaomba radhi wazi kabisa kwenye vyombo vya habari.
Ni wapi Yondani aliomba radhi kwa kumtemea makohozi yake machafu kwa makusudi Asante Kwasi ?
Usilete ushabiki wa timu.
Lini Yondani kaomba radhi au kuadhibiwa ?
Naona PovuKuomba radhi ni utashi wa mtu lakini kwa yondani sheria zilifuatwa na adhabu inayostahili yondani alipewa ndo tunachotaka kwa kotei hatua stahiki zichukuliwe we kijana wa manara acha kubwabwaja hapa
ni baada ya kotei kumuomba radhi gadiel Michael.. ndo mnataka yondani aombe radhi kwa kwasi?? yondani huyu huyu??