Ni Wanachadema vs Watanzania

Ni Wanachadema vs Watanzania

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Uchaguzi wa Chadema umeleta hisia kwasababu hii viongozi wengi ambao ndiyo wapiga kura wana muunga mkono Mbowe lakini wananchi wengi ambao hawana chama na diaspora wengi wanamuunga mkono Lissu. Hivyo ushindi wa Mbowe unaweza kuonekana mkubwa kwa wachache wanachama lakini Lissu anaumgwa mkono na wengi sana wasio wanachama.

Swali kubwa ni kwamba

Upande wa Mbowe: Wana amini majadiliano bado yana nafasi

Upande wa Lissu wanaamini majadiliano yameshidwa na inahitajika heka heka mpya kuamsha nchi ili madadiliano yaweze kufanikiwa

Mimi nakubaliana na Lissu kwenye hilo. Lakini Lissu pekee hataweza kuendesha taasisi ya Chadema inabidi wakina Mnyika wanaki maana Lissu hana uzoefu na ubunifu wa Mbowe
 
Uchaguzi wa Chadema umeleta hisia kwasababu hii viongozi wengi ambao ndiyo wapiga kura wana muunga mkono Mbowe lakini wananchi wengi ambao hawana chama na diaspora wengi wanamuunga mkono Lissu. Hivyo ushindi wa Mbowe unaweza kuonekana mkubwa kwa wachache wanachama lakini Lissu anaumgwa mkono na wengi sana wasio wanachama.

Swali kubwa ni kwamba

Upande wa Mbowe: Wana amini majadiliano bado yana nafasi

Upande wa Lissu wanaamini majadiliano yameshidwa na inahitajika heka heka mpya kuamsha nchi ili madadiliano yaweze kufanikiwa

Mimi nakubaliana na Lissu kwenye hilo. Lakini Lissu pekee hataweza kuendesha taasisi ya Chadema inabidi wakina Mnyika wanaki maana Lissu hana uzoefu na ubunifu wa Mbowe
Lissu sio wale watu wanaoweza kuwa top leaders lazima awe chini ya mtu mwenye hekima na busara zaidi yake, huyo ni Mbowe.
 
Lissu sio wale watu wanaoweza kuwa top leaders lazima awe chini ya mtu mwenye hekima na busara zaidi yake, huyo ni Mbowe.
Vipi angeshinda Uraisi angekuwa chini ya nani...Mbowe anachoweza ni kula sahani moja na watawala..Na ndio kinamfanya agombee kwa lazima maana anamkataba na mbogamboga...
 
Vipi angeshinda Uraisi angekuwa chini ya nani...Mbowe anachoweza ni kula sahani moja na watawala..Na ndio kinamfanya agombee kwa lazima maana anamkataba na mbogamboga...
Lissu tulijua asingeshinda urais chini ya dikteta Magufuli.
 
Vipi angeshinda Uraisi angekuwa chini ya nani...Mbowe anachoweza ni kula sahani moja na watawala..Na ndio kinamfanya agombee kwa lazima maana anamkataba na mbogamboga...

Viongozi wengi wa siasa hawajui management. Hata ndiyo maana kuna makatibu wakuu . Uraisi ni taasisi
 
Upande wa Mbowe: Wana amini majadiliano bado yana nafasi
Majadiliano gani wakati huyu Mama anauwa na kupoteza Critics wake walioko CHADEMA?!

Zile 4R ndio kaachana nazo kabisa kashauriwa afanye Siasa za Kibabe, Ayatolah Mbowe naye yuko radhi kuendele kuzika Wanachama na Wapenzi wa CHADEMA wanaouwawa kila mara.
 
Uchaguzi wa Chadema umeleta hisia kwasababu hii viongozi wengi ambao ndiyo wapiga kura wana muunga mkono Mbowe lakini wananchi wengi ambao hawana chama na diaspora wengi wanamuunga mkono Lissu. Hivyo ushindi wa Mbowe unaweza kuonekana mkubwa kwa wachache wanachama lakini Lissu anaumgwa mkono na wengi sana wasio wanachama.

Swali kubwa ni kwamba

Upande wa Mbowe: Wana amini majadiliano bado yana nafasi

Upande wa Lissu wanaamini majadiliano yameshidwa na inahitajika heka heka mpya kuamsha nchi ili madadiliano yaweze kufanikiwa

Mimi nakubaliana na Lissu kwenye hilo. Lakini Lissu pekee hataweza kuendesha taasisi ya Chadema inabidi wakina Mnyika wanaki maana Lissu hana uzoefu na ubunifu wa Mbowe
Ubunifu na Uzoefu aliondoka nao Dkt Slaa, waliobaki pale ni majizi matupu.
 
Back
Top Bottom