Ni wanandoa, lakini siku hizi hawapendani kama zamani

Ni wanandoa, lakini siku hizi hawapendani kama zamani

Elie zer

Member
Joined
Sep 20, 2021
Posts
73
Reaction score
68
Wamekuwa ni watu wenye visirani na ugomvi kila iitwapo leo-usiku, hasa hasa mwanamke, amekuwa ni mtu wa kwanza kumsema mumewe kwa majirani hasa kwenye vikao vya hisa na vyama! Naomba tu kufahamu sababu ambazo zinapelekea wanandoa wengi kubadili mienendo yao na kupunguza upendo baina yao siku hadi siku.
 
Kamati ya roho mbaya weshafanya Mambo yao, jini kisirani yupo on duty
 
Hivi vikundi, sio vya wanawake tu. Siki hizo wanajichanganya mpaka wanaume

Ivo wake zenu wanatongozwa humohumo.

Pia, Nikishawaambia,Heshima kwa mwanamke inawekwa kitandani.
 
images(6).jpeg
 
Wamekuwa ni watu wenye visirani na ugomvi kila iitwapo leo-usiku, hasa hasa mwanamke, amekuwa ni mtu wa kwanza kumsema mumewe kwa majirani hasa kwenye vikao vya hisa na vyama!! Naomba tu kufaham sababu ambazo zinapelekea wanandoa wengi kubadili mienendo yao na kupunguza upendo baina yao siku hadi siku
Upendo umeisha kwa wote wawili, Alf wanashindwa kuvumiliana. Hapo Jambo la msingi ni UVUMILIVU TU
 
Wamekuwa ni watu wenye visirani na ugomvi kila iitwapo leo-usiku, hasa hasa mwanamke, amekuwa ni mtu wa kwanza kumsema mumewe kwa majirani hasa kwenye vikao vya hisa na vyama!! Naomba tu kufaham sababu ambazo zinapelekea wanandoa wengi kubadili mienendo yao na kupunguza upendo baina yao siku hadi siku
Sasa mke umempata kwenye vigoma inategemea kutakuwa na kuheshimiana hapo, ugomvi hauishi ksb marafiki ni walewale wanao mpa mawazo. Ahame eneo Hilo sululisho litaoatikana.
 
Kamata bomba vizuriiiii...gari inapita kwenye korongooo
 
Ndoa ngumu sn zama hizi.Ndo maana nawaza nizae tu then nilee,lakini si kuoa aisee
 
Back
Top Bottom