Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Wakuu salama? Najaribu kuuliza ni wapi nitapata kaeneo ka wazi kwa idadi ya watu wasiozidi 100 kwa ajili ya function kidogo. Kwa mwenye kujua tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekusoma Chief. Nielekeze baadhiEneo la wazi kama uwanja wa mpira?
maana kama ni kumbi za sherehe zipo nyingi sana ila huwezi kuziita open space
Ngoja nicheki na hapo VictoriaKuna sehemu nyuma ya Vodacom, Victoria nimepasahau jina
Hekima Garden
Kuna sehemu pembeni ya Velisa Kawe
Shabaha Mbezi Beach
Kuna moja iko tabata aroma, uelekeo wa Tabata Bima huko, ukumbi unaitwa MatongeeNimekusoma Chief. Nielekeze baadhi
Sawa mkuu, thanksKuna moja iko tabata aroma, uelekeo wa Tabata Bima huko, ukumbi unaitwa Matongee
0762885763 ongea na Huyu jamaa atakupa maelekezo zaidi kama kuna nafasi