Ni wapi kwa Dar naweza kupata psychedelics kama ayahuasca mushroom (Psilocybin), LSD au DMT?

Ni wapi kwa Dar naweza kupata psychedelics kama ayahuasca mushroom (Psilocybin), LSD au DMT?

Afrocentric view

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2022
Posts
1,374
Reaction score
2,280
Wasalaam wakuu.

Carl Jung alizama kwenye bahari ya psychedelics na kuandika vitabu vingi vilivyobadilisha maisha ya mamilion ya watu.

Kwa upana pia ninataka kubadilisha maisha yangu kwa kuua Ego na kuwa mmoja na ulimwengu.

Natamani kutranscend na kuwa katika level kuu itakayonifanya niishi maisha hapa duniani kama Yesu,Paulo au Buddha.

Msaada kwa hapa Dar ninaweza kupatia wapi psychedelics?

NB:Meditation ilinishinda.
 
Kuna uzi humu JF umejadili sana hili suala hebu utafute
 
Wasalaam wakuu.

Carl Jung alizama kwenye bahari ya psychedelics na kuandika vitabu vingi vilivyobadilisha maisha ya mamilion ya watu.

Kwa upana pia ninataka kubadilisha maisha yangu kwa kuua Ego na kuwa mmoja na ulimwengu.

Natamani kutranscend na kuwa katika level kuu itakayonifanya niishi maisha hapa duniani kama Yesu,Paulo au Buddha.

Msaada kwa hapa Dar ninaweza kupatia wapi psychedelics?

NB:Meditation ilinishinda.
What is Ego
 
Kwanza tafuta maarifa sahihi kabla ya kupata hiyo dawa by the way nachelewa kukuuliza kama ushawahi kujaribu kuvuta Bob Marley original.
Umewahi kutembelea nchi ngapi apa duniani kufikia mda huu?
Unewahi kufanya tajahudi/meditation?
Umewahi kusoma biblia ama Quran na kuimaliza?
Una uwezo wa kuishi muda gani bila kufanya kazi! Unaweza kwenda matembezi ya mwezi mmoja ?
 
Kwanza tafuta maarifa sahihi kabla ya kupata hiyo dawa by the way nachelewa kukuuliza kama ushawahi kujaribu kuvuta Bob Marley original.
Umewahi kutembelea nchi ngapi apa duniani kufikia mda huu?
Unewahi kufanya tajahudi/meditation?
Umewahi kusoma biblia ama Quran na kuimaliza?
Una uwezo wa kuishi muda gani bila kufanya kazi! Unaweza kwenda matembezi ya mwezi mmoja ?
With respect naomba kufahamu uhusiano wa haya maswali uliyomuuliza mleta mada na kitu anachokihitaji
 
Wasalaam wakuu.

Carl Jung alizama kwenye bahari ya psychedelics na kuandika vitabu vingi vilivyobadilisha maisha ya mamilion ya watu.

Kwa upana pia ninataka kubadilisha maisha yangu kwa kuua Ego na kuwa mmoja na ulimwengu.

Natamani kutranscend na kuwa katika level kuu itakayonifanya niishi maisha hapa duniani kama Yesu,Paulo au Buddha.

Msaada kwa hapa Dar ninaweza kupatia wapi psychedelics?

NB:Meditation ilinishinda.
Kwa dar es salaam

Utapata KIGAMBONI, BAGAMOYO...

Na mchungaji hananje ana sehem yake ila sijajua wapi?

So unaweza uka tafuta contact za mchungaji hananje ukaweza kusaidika ki uraisi...
 
Kwa dar es salaam

Utapata KIGAMBONI, BAGAMOYO...

Na mchungaji hananje ana sehem yake ila sijajua wapi?

So unaweza uka tafuta contact za mchungaji hananje ukaweza kusaidika ki uraisi...
mkuu ni kitu gan hicho?
 
Elezea kwanza nikwanamna gani umeshindwa kupitia meditation??
Kwanza kifupi sana nikwamba kupitia hizo magic mushroom unahatari sana yakulukwa Na Akili nisawa na kushika gafra brek zako ukiwa mwendo kasi..
Kinacho tokea ni gari kwenda kasi zaidi tena bila mpangilio mzuri.
Ulimwengu wa roho kuutembelea yahitaji ujasili na hekima ukiingia gafra bila mpangilio unaweza ukanasia huko ikawa shida kuludi.
Vinginevyo uwe chini ya Master atakae kua anakusimamia.
 
Elezea kwanza nikwanamna gani umeshindwa kupitia meditation??
Kwanza kifupi sana nikwamba kupitia hizo magic mushroom unahatari sana yakulukwa Na Akili nisawa na kushika gafra brek zako ukiwa mwendo kasi..
Kinacho tokea ni gari kwenda kasi zaidi tena bila mpangilio mzuri.
Ulimwengu wa roho kuutembelea yahitaji ujasili na hekima ukiingia gafra bila mpangilio unaweza ukanasia huko ikawa shida kuludi.
Vinginevyo uwe chini ya Master atakae kua anakusimamia.
kaka umewah tumia magic mushrooms?
 
Back
Top Bottom