Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwasipenjele,kibranketi,rosecoco,kipapi,maini(maji maramoja)kigoma,masusu,jesca n.k Kila mbegu na bei yake japo hazijaachana sana wa uhakika zaid weka bajeti ya 48k- 50k kwa debeUmeonesha uwezo mdogo wa akili yako, ungepita tuu taji
Ukute na wewe Umefka chuo kikuu kabsa na Uko ofisini unafanya kazi na unalipwa.Maharage ni ya kazi gani? kufundishia> hivi hiyo bado inatumika kama mboga?
hyo kwa bei ya jumla? Maana nakuja kuiuza pia, nikiwa musoma naipataje?Mwasipenjele,kibranketi,rosecoco,kipapi,maini(maji maramoja)kigoma,masusu,jesca n.k Kila mbegu na bei yake japo hazijaachana sana wa uhakika zaid weka bajeti ya 48k- 50k kwa debe
Ndio nikwabei yajumla mana inatakiwa ujue kuwa huu sio msimu wakuvuna,kwaiyo inakubidi ununue kwa waliotunza ndani(wachuuzi)hyo kwa bei ya jumla? Maana nakuja kuiuza pia, nikiwa musoma naipataje?
Inawezekana mkuu , mzigo tu unapakiwa unakuja usimtumie mtu hela nenda mwenyewe ukakague mzigo ujihakikishie ni msafi na umetimia !Nikiwa musoma naipataje?
Huku dar es salaam maharage mazuri mfano soya haya yakijivu yanauzwa kilo 2400 ni mazuri sana maji mara moja tu .sasa iyo ni bei ya dukani reja reja bei ya jumla naisi itakuwa chini ya hapohyo kwa bei ya jumla? Maana nakuja kuiuza pia, nikiwa musoma naipataje?
Morogoro sehemu ganInawezekana mkuu , mzigo tu unapakiwa unakuja usimtumie mtu hela nenda mwenyewe ukakague mzigo ujihakikishie ni msafi na umetimia !
Mimi niko Morogoro kama utapendelea ninazo Tani 4 za njano golori !
Oooh wooow tunakupataje sasaInawezekana mkuu , mzigo tu unapakiwa unakuja usimtumie mtu hela nenda mwenyewe ukakague mzigo ujihakikishie ni msafi na umetimia !
Mimi niko Morogoro kama utapendelea ninazo Tani 4 za njano golori !
Oooh wooow tunakupataje sasa
Niko Gairo , MorogoroMorogoro sehemu gan
Unauzaje per gunia?Niko Gairo , Morogoro
Niko nayo nicheki 0628211102Naomba kujua ni wapi maharage yanapatika kwa bei nzuri hususan kwa kanda ya ziwa alafu kwa bei nafuu? Na ni kwa bei gani hyo? Ni kwa kilo au gunia?