round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 345
- 1,145
Najua kuna vijana wengi wana mawazo yao lakini changamoto huwa ni fedha.
Ningependa kujua ni wapi naweza kupata fursa ya kuweza kuhudhuria maonyesho ya projects zinazodeal na mambo ya computers, simu, apps, n.k.
Kwa sasa nipo Njombe, huku ni bila bila. sehemu ya karibu nayohisi kuna hayo mambo ni Mbeya kwasababu ni mkoa wenye vyuo vingi sana nyuma ya Dsm, lakini pia naweza kwenda Dar kwasababu nasikia kuna kambi nyingi za mambo haya na vyuo vipo vingi zaidi pamoja na watu wenye passion kwenye hii sekta
Budget yangu nindogo, initial investment ya kuingia mkataba, ni milioni 2, kisha baada ya hapo tuwe tunagawana 50 / 50,
Ningependa kujua ni wapi naweza kupata fursa ya kuweza kuhudhuria maonyesho ya projects zinazodeal na mambo ya computers, simu, apps, n.k.
Kwa sasa nipo Njombe, huku ni bila bila. sehemu ya karibu nayohisi kuna hayo mambo ni Mbeya kwasababu ni mkoa wenye vyuo vingi sana nyuma ya Dsm, lakini pia naweza kwenda Dar kwasababu nasikia kuna kambi nyingi za mambo haya na vyuo vipo vingi zaidi pamoja na watu wenye passion kwenye hii sekta
Budget yangu nindogo, initial investment ya kuingia mkataba, ni milioni 2, kisha baada ya hapo tuwe tunagawana 50 / 50,
- Sehemu zipi niende
- njia nzuri ya ku aproach vijana wenye mawazo
- tahadhari za kuchukua
- n.k,