Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una capacity gani?Habari, Mimi ni mfanyabiashara nipo dar ,mabibo,nilikua naulizia wapi naweza kupata sigara ili nije kuuza Bei ya jumla?
Si uende TCC1 million
Si uende TCC
Yaani upo Dar hujui kiwanda cha Sigara kipo wapi? Acha dharauHabari, Mimi ni mfanyabiashara nipo dar ,mabibo,nilikua naulizia wapi naweza kupata sigara ili nije kuuza Bei ya jumla?
🤣🤣🤣🤣 nimecheka kwa uchungu , nilikua nasikia tu sigara zina madhara ,sigara zina madhara najibu kwa kebehi, " mbona babu kavuta na kafa na miaka 103 " madhara ya sigara yanategemea ukoo bwanaeeee hiyo siku nilianza kukohoa kama mbuzi wa albadiri mara tumbo linajaa migesi kama mbuzi mwenye pacha akili ikakaa sawauza fegi mzeee....wavutaji tukupromotii
Ajiulize kwa nn gari au duka linalouza sigara jumla linalindwa halafu yy anasema ana mil moja anataka kwenda kwa deport au factoryNgoja waje wajuzi wa mambo hapa wakuambie ila si vyepesi kama unavyofikilia kwenda tu kiwandani kununua sigara na pesa uliyonayo ni ndogo sana