SINA MDA WA KUJIBU ARISES ZA HAPA LAKINI MTU YEYOTE ASITOE HELA YA AINA YOYOTE KUPATA PESA HIZI NA NAOMBENI SANA MTU ASOME MKATAPA NA AKABIZIWE PESA NDIO AUSANI.
Naomba kuuliza Kuna mtu alishakopa Viva mikopo online?. Maana nawaona kwenye mitandao wakijinadi kutoa mikopo kwa riba nafuu, huku wakitaka advance ya 10% Kama dhamana ya mkopo. Naogopa kupigwa.